KERO YA MAJI

KERO YA MAJI

lugoda12

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
276
Reaction score
574
Hivi Serikali inafikiria nini hii kero ya maji ambayo imekuwa janga kubwa kwa wakazi wa baadhi ya mitaa jijini Dar es Salaam?
Yale marekebisho ya Ruvu juu bado hayajaisha na ni mwezi mzima sasa umeisha!
 
Hivi Serikali inafikiria nini hii kero ya maji ambayo imekuwa janga kubwa kwa wakazi wa baadhi ya mitaa jijini Dar es Salaam?
Yale marekebisho ya Ruvu juu bado hayajaisha na ni mwezi mzima sasa umeisha!
Be specific with your location plz
 
Back
Top Bottom