Hivi Serikali inafikiria nini hii kero ya maji ambayo imekuwa janga kubwa kwa wakazi wa baadhi ya mitaa jijini Dar es Salaam?
Yale marekebisho ya Ruvu juu bado hayajaisha na ni mwezi mzima sasa umeisha!
Hivi Serikali inafikiria nini hii kero ya maji ambayo imekuwa janga kubwa kwa wakazi wa baadhi ya mitaa jijini Dar es Salaam?
Yale marekebisho ya Ruvu juu bado hayajaisha na ni mwezi mzima sasa umeisha!