Kero ya ukosekanaji wa maji

Kero ya ukosekanaji wa maji

Joined
Jun 16, 2024
Posts
45
Reaction score
56
Kumekuwa na ukosekanaji wa waji katika baadhi ya nyumba eneo la tabata mtaa wa migombani (tembomgwaza) yaan maji yanatoka kwa kuchagua nyumba baadhi, takribani wiki tatu sasa. Wananchi hawaelewi ni Dawasco au kuna uhuni wa ukataji wa mabomba. "Tunaomba serikali itusaidie kufuatilia kwa kuihimiza dawasco maana hatuna huduma ya maji kabisa mpaka sasa na kwa hali ya joto la dar es salaam ni changamoto kuishi bila kuoga" alisema mmoja wa mkazi wa mtaa huo.
 
Aisee mamlaka husika wanajua?!?
Wanajua mkuu na majibu ni yaleyale kila siku, tunatandaza mabomba mapya sijui ndani ya siku mbili yatatoka ukiwapigia tena mafundi ndiyo wanamalizia kazi leo kuanzia jioni yatatoka mtakaa tena hakuna kitu. Dawasa Kinyerezi shida tupu itakuwa wafanyakazi wa pale ndiyo wana magari ya kuuza maji au wanapata commission
 
Back
Top Bottom