doctor mwanafunzi
Member
- Jun 16, 2024
- 45
- 56
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dasilamu, huku mkoani nguruwe wana swimmingpool [emoji23]
Weupeeeee๐[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee mamlaka husika wanajua?!?Bora nyie wiki tatu mkuu, sisi wenzio huku mara ya mwisho yametoka siku tatu kabla ya krismasi mpaka leo
Wanajua mkuu na majibu ni yaleyale kila siku, tunatandaza mabomba mapya sijui ndani ya siku mbili yatatoka ukiwapigia tena mafundi ndiyo wanamalizia kazi leo kuanzia jioni yatatoka mtakaa tena hakuna kitu. Dawasa Kinyerezi shida tupu itakuwa wafanyakazi wa pale ndiyo wana magari ya kuuza maji au wanapata commissionAisee mamlaka husika wanajua?!?