KERO Kero ya usafiri Newala, Mtwara

KERO Kero ya usafiri Newala, Mtwara

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Usafiri wa Mabasi ya Newala, Mtwara ni changamoto sana na ni shida ya mda mrefu sana.

Wafanyabiashara wa mabasi wanafanya biashara kwa kubahatisha; service hazifanyiki vzur na kwa wakati hali inayopelekea magari kuharibika sana njiani na hta kuweza kusababisha ajali barabarani.

Naomba serikali iliangalie hili jambo kwa umakini sana

Hapa ninapopost hii Thread gari limeharibika tena mapema sana tumetoka Newala mjini saa 12 asubh saa 1 limeshaharibika tumekaa tu kuwasubiria walirekebishe. Kwa kweli ni kero sana

20240606_081024.jpg

Pia soma: KERO ZA USAFIRI: Umekumbana na kero gani kwenye harakati za usafiri?
 
Baadhi ya mambo ambayo pengine huenda yanapelekea hali hiyo huko au yana mchango wake kwa namna moja au nyingine katika hilo kutokana na mtazamo tu;

1. Ubaguzi kwa watu wasiyo wazawa.

Hapo kampuni za MANING NICE, JM, BARAKA, BUTI LA ZUNGU na wengineo, wamewahi leta gari bora sana zinazoendana na mahitaji, lakini mwisho wa siku abiria wanasema hatuwezi mpa ridhiki mtu wa "KASKAZINI" wakimanisha mtu wa kuja.

Hivyo abiria wengi wa huko wakifika stand wataulizia kampuni za MAHUTA, ASHFA BABY au IBRA ambazo ni za wazawa na kupelekea zile kampuni za wageni kukosa abiria.

Mzawa wa kule akianzisha kampuni ya usafirishaji anapata abiria sawa na hayo makampuni mengine ya wazawa, ila akija mgeni mpe miezi 6 ataachia njia mwenyewe.

Miaka ya nyuma, kampuni ya JM ilikuwa inawapa ofa ya bure wateja ya chai wakifika Nangurukuru , vinywaji baridi na bites njiani kwa nauli sawa na wengine lakini hapati abiria hadi hao wazawa wasiotoa chochote tena wenye gari mbovu wajaze abiria.

Hali hii imepelekea kuwepo kwa magari mabovu mengi ukanda huo.

2. Mambo ya kimila
Kampuni mpya zinazoletwa huko hushindwa ligi kwenye idara hiyo.

Utashangaa bus likitoka Newala hadi Dar mara ajali zisizoeleweka kila baada ya siku kadhaa au kuharibika hovyo kwa bus njiani.

Bus hilohilo na huduma hizo hizo ukilipeleka route tofauti na huko linakuwa zima wakati awali lilikuwa linapitia mazingira magumu.

3. Uwepo wa barabara mbovu ya vumbi kutoka Newala hadi Mtama.
Kampuni baadhi zenye magari mazuri ya kisasa zinapeleka magari yao maeneo kama Masasi au Mtwara mjini kwa vile huko ni lami mwanzo mwisho.

4. Kampuni kutokufanya ukarabati toshelevu wa vyombo vyao kabla ya safari.
Tuchukulie mfano wa ajali ya kampuni la Baraka kama sijakosea iliyotokea Lindi na kusababisha vifo vya watu kadhaa.

Chanzo cha ajali hiyo ni bus kutokuwa na breki na tatizo hilo inasadikika lilibainishwa hata kabla ya safari lakini gari likaruhusiwa hivyo hivyo kuanza safari.


Pole sana ndugu kwa changamoto hizo.
Huenda kuna sababu zinazochagiza changamoto endelevu ukanda huo, ila mimi nimehisia tu, hivyo wenye mamlaka na wajuvi wa mambo naomba masahihisho kwenye mtazamo wangu huo.
 
Usafiri wa Mabasi ya Newala, Mtwara ni changamoto sana na ni shida ya mda mrefu sana.

Wafanyabiashara wa mabasi wanafanya biashara kwa kubahatisha; service hazifanyiki vzur na kwa wakati hali inayopelekea magari kuharibika sana njiani na hta kuweza kusababisha ajali barabarani.

Naomba serikali iliangalie hili jambo kwa umakini sana

Hapa ninapopost hii Thread gari limeharibika tena mapema sana tumetoka Newala mjini saa 12 asubh saa 1 limeshaharibika tumekaa tu kuwasubiria walirekebishe. Kwa kweli ni kero sana


Pia soma: KERO ZA USAFIRI: Umekumbana na kero gani kwenye harakati za usafiri?
Unapotaka kusafiri chagua basi au kampuni yenye uzoefu, unaparamia basi Ashfa Baby unategemea nini? Huyo anabasi lake moja nala kalinunua kwa masikini mwenzake likiwa limechoka linatembea kama bata mwenye mimba, usitegemee kufika muda muafaka kwani gari litaharibika njiani mpaka mtaoana na mabinti wa kimwera.
 
Kwa hiyo hapo ilipo basi ndio stendi bloangu?
 
Baadhi ya mambo ambayo pengine huenda yanapelekea hali hiyo huko au yana mchango wake kwa namna moja au nyingine katika hilo kutokana na mtazamo tu;

1. Ubaguzi kwa watu wasiyo wazawa.

Hapo kampuni za MANING NICE, JM, BARAKA, BUTI LA ZUNGU na wengineo, wamewahi leta gari bora sana zinazoendana na mahitaji, lakini mwisho wa siku abiria wanasema hatuwezi mpa ridhiki mtu wa "KASKAZINI" wakimanisha mtu wa kuja.

Hivyo abiria wengi wa huko wakifika stand wataulizia kampuni za MAHUTA, ASHFA BABY au IBRA ambazo ni za wazawa na kupelekea zile kampuni za wageni kukosa abiria.

Mzawa wa kule akianzisha kampuni ya usafirishaji anapata abiria sawa na hayo makampuni mengine ya wazawa, ila akija mgeni mpe miezi 6 ataachia njia mwenyewe.

Miaka ya nyuma, kampuni ya JM ilikuwa inawapa ofa ya bure wateja ya chai wakifika Nangurukuru , vinywaji baridi na bites njiani kwa nauli sawa na wengine lakini hapati abiria hadi hao wazawa wasiotoa chochote tena wenye gari mbovu wajaze abiria.

Hali hii imepelekea kuwepo kwa magari mabovu mengi ukanda huo.

2. Mambo ya kimila
Kampuni mpya zinazoletwa huko hushindwa ligi kwenye idara hiyo.

Utashangaa bus likitoka Newala hadi Dar mara ajali zisizoeleweka kila baada ya siku kadhaa au kuharibika hovyo kwa bus njiani.

Bus hilohilo na huduma hizo hizo ukilipeleka route tofauti na huko linakuwa zima wakati awali lilikuwa linapitia mazingira magumu.

3. Uwepo wa barabara mbovu ya vumbi kutoka Newala hadi Mtama.
Kampuni baadhi zenye magari mazuri ya kisasa zinapeleka magari yao maeneo kama Masasi au Mtwara mjini kwa vile huko ni lami mwanzo mwisho.

4. Kampuni kutokufanya ukarabati toshelevu wa vyombo vyao kabla ya safari.
Tuchukulie mfano wa ajali ya kampuni la Baraka kama sijakosea iliyotokea Lindi na kusababisha vifo vya watu kadhaa.

Chanzo cha ajali hiyo ni bus kutokuwa na breki na tatizo hilo inasadikika lilibainishwa hata kabla ya safari lakini gari likaruhusiwa hivyo hivyo kuanza safari.


Pole sana ndugu kwa changamoto hizo.
Huenda kuna sababu zinazochagiza changamoto endelevu ukanda huo, ila mimi nimehisia tu, hivyo wenye mamlaka na wajuvi wa mambo naomba masahihisho kwenye mtazamo wangu huo.
Umeandk almost ukweli kwa 79% , huku bado wagen wakij kuwekeza n shda

Kuna mwak fuln mfanyabiashar alikuj kuuz nyam ya mbuz kg 5000 wakamuundia zengwe
 
Baadhi ya mambo ambayo pengine huenda yanapelekea hali hiyo huko au yana mchango wake kwa namna moja au nyingine katika hilo kutokana na mtazamo tu;

1. Ubaguzi kwa watu wasiyo wazawa.

Hapo kampuni za MANING NICE, JM, BARAKA, BUTI LA ZUNGU na wengineo, wamewahi leta gari bora sana zinazoendana na mahitaji, lakini mwisho wa siku abiria wanasema hatuwezi mpa ridhiki mtu wa "KASKAZINI" wakimanisha mtu wa kuja.

Hivyo abiria wengi wa huko wakifika stand wataulizia kampuni za MAHUTA, ASHFA BABY au IBRA ambazo ni za wazawa na kupelekea zile kampuni za wageni kukosa abiria.

Mzawa wa kule akianzisha kampuni ya usafirishaji anapata abiria sawa na hayo makampuni mengine ya wazawa, ila akija mgeni mpe miezi 6 ataachia njia mwenyewe.

Miaka ya nyuma, kampuni ya JM ilikuwa inawapa ofa ya bure wateja ya chai wakifika Nangurukuru , vinywaji baridi na bites njiani kwa nauli sawa na wengine lakini hapati abiria hadi hao wazawa wasiotoa chochote tena wenye gari mbovu wajaze abiria.

Hali hii imepelekea kuwepo kwa magari mabovu mengi ukanda huo.

2. Mambo ya kimila
Kampuni mpya zinazoletwa huko hushindwa ligi kwenye idara hiyo.

Utashangaa bus likitoka Newala hadi Dar mara ajali zisizoeleweka kila baada ya siku kadhaa au kuharibika hovyo kwa bus njiani.

Bus hilohilo na huduma hizo hizo ukilipeleka route tofauti na huko linakuwa zima wakati awali lilikuwa linapitia mazingira magumu.

3. Uwepo wa barabara mbovu ya vumbi kutoka Newala hadi Mtama.
Kampuni baadhi zenye magari mazuri ya kisasa zinapeleka magari yao maeneo kama Masasi au Mtwara mjini kwa vile huko ni lami mwanzo mwisho.

4. Kampuni kutokufanya ukarabati toshelevu wa vyombo vyao kabla ya safari.
Tuchukulie mfano wa ajali ya kampuni la Baraka kama sijakosea iliyotokea Lindi na kusababisha vifo vya watu kadhaa.

Chanzo cha ajali hiyo ni bus kutokuwa na breki na tatizo hilo inasadikika lilibainishwa hata kabla ya safari lakini gari likaruhusiwa hivyo hivyo kuanza safari.


Pole sana ndugu kwa changamoto hizo.
Huenda kuna sababu zinazochagiza changamoto endelevu ukanda huo, ila mimi nimehisia tu, hivyo wenye mamlaka na wajuvi wa mambo naomba masahihisho kwenye mtazamo wangu huo.
Umemaliza Mkuu.
 
  • Thanks
Reactions: K11
Usafiri wa Mabasi ya Newala, Mtwara ni changamoto sana na ni shida ya mda mrefu sana.

Wafanyabiashara wa mabasi wanafanya biashara kwa kubahatisha; service hazifanyiki vzur na kwa wakati hali inayopelekea magari kuharibika sana njiani na hta kuweza kusababisha ajali barabarani.

Naomba serikali iliangalie hili jambo kwa umakini sana

Hapa ninapopost hii Thread gari limeharibika tena mapema sana tumetoka Newala mjini saa 12 asubh saa 1 limeshaharibika tumekaa tu kuwasubiria walirekebishe. Kwa kweli ni kero sana


Pia soma: KERO ZA USAFIRI: Umekumbana na kero gani kwenye harakati za usafiri?
Hii barabara ya Mtwara to Newala nimesafiri lakini nimeishia pale Naliendele (TARI). So nilijua Ile lami imefika mpaka Tandahimba, Newala.. au imekaaje hii wakuu..?
 
Hii barabara ya Mtwara to Newala nimesafiri lakini nimeishia pale Naliendele (TARI). So nilijua Ile lami imefika mpaka Tandahimba, Newala.. au imekaaje hii wakuu..?
Lami inayotoka Mtwara inaenda hadi Nanyamba, baada ya hapo utakuta kipande kidogo cha lami Tandahimba, kisha utaikuta lami nyingine Newala mjini.

Kwa kifupi kutokea Newala kwenda eidha Tandahimba, Masasi au Mtama lazima sehemu kubwa upambane na barabara ya vumbi.
 
Lami inayotoka Mtwara inaenda hadi Nanyamba, baada ya hapo utakuta kipande kidogo cha lami Tandahimba, kisha utaikuta lami nyingine Newala mjini.

Kwa kifupi kutokea Newala kwenda eidha Tandahimba, Masasi au Mtama lazima sehemu kubwa upambane na barabara ya vumbi.
Duuh, zile Wilaya zimesahaulika sana,,
shida kubwa Tandahimba & Newala uchawi umejaa sana.. Wale Wamakonde wa vilimani kule ni washirikina sana.
 
Mkuu huko ni ngumu kupeleka gari zuri pia hata kwa hao wenye magari ni ngumu kuyafanyia sevis ya maan kwasababu huko watu mpka msimu wa korosho ndy wanaingia na kutoka kwa wing ila kinyume na hapo biashara ni ya kubahatisha na wala sio swala la uzawa pia wafanya biashar weng wao mizigo wanaagiza tu inawafikia, nilishawah safir na ibra mwezi wa pili tulikuwa abiria 10 tu
We waza 10x35000= toa mafuta toa posho jumlisha na trafc unapata wapi nguvu ya kuwaza servic au kununua gari jipya? Na hata hao wagen wakija wanaona hakuna abiria wanasepa, Labd watu wakipata hela za ufuta hiv karbun abiria wataongezeka ambao wanakuja kununua ufuta na wengn kuleta biashra
 
Back
Top Bottom