KERO Kero ya vifusi ndani ya stendi ya nanenane, Mbeya

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Allen mwamunyange

New Member
Joined
May 21, 2024
Posts
3
Reaction score
1
Mbeya city council viongozi wamekosa uwajibikaji kabisa baada ya kuwasilisha kero ya ubovu wa miundombinu ya barabara ndani ya stand ya nane nane , kumekuwa na vifusi vilivyo mwagwa ndani ya stand kwa zaid ya wiki mbili baada Tu ya kuwasilisha kero hii .

Ombi langu kwa mamlaka husika zichukue hatua pamoja na kusambaza vifusi ambayo kwa sasa vimekuwa hatari kwa watumiaji wa stand hii.

 

Attachments

  • IMG-20250309-WA0005.jpg
    34.2 KB · Views: 1
  • IMG-20250309-WA0009.jpg
    35.6 KB · Views: 3
  • IMG-20250309-WA0010.jpg
    36.3 KB · Views: 2
  • IMG-20250309-WA0009.jpg
    35.6 KB · Views: 1
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…