KERO Kero ya vifusi ndani ya stendi ya nanenane, Mbeya

KERO Kero ya vifusi ndani ya stendi ya nanenane, Mbeya

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Allen mwamunyange

New Member
Joined
May 21, 2024
Posts
3
Reaction score
1
Mbeya city council viongozi wamekosa uwajibikaji kabisa baada ya kuwasilisha kero ya ubovu wa miundombinu ya barabara ndani ya stand ya nane nane , kumekuwa na vifusi vilivyo mwagwa ndani ya stand kwa zaid ya wiki mbili baada Tu ya kuwasilisha kero hii .

Ombi langu kwa mamlaka husika zichukue hatua pamoja na kusambaza vifusi ambayo kwa sasa vimekuwa hatari kwa watumiaji wa stand hii.

IMG-20250309-WA0004.jpg
IMG-20250309-WA0006.jpg
 

Attachments

  • IMG-20250309-WA0005.jpg
    IMG-20250309-WA0005.jpg
    34.2 KB · Views: 1
  • IMG-20250309-WA0009.jpg
    IMG-20250309-WA0009.jpg
    35.6 KB · Views: 3
  • IMG-20250309-WA0010.jpg
    IMG-20250309-WA0010.jpg
    36.3 KB · Views: 2
  • IMG-20250309-WA0009.jpg
    IMG-20250309-WA0009.jpg
    35.6 KB · Views: 1
Back
Top Bottom