Kero za kudate mume wa mtu

Una miaka 34 sing
Katika huo utafiti wa waume za watu,
Walikutafuna wangapi mpaka kukamilisha huo utafiti wako?

Kwa tabia hiyo ndio maana hujaolewa,unarukia waume za watu tu,

Namuonea huruma atakayekuja kuowa hilo Daladala analopanda kila abiria.
😳Ila bro unakauli zisizobariki....I don't know why? Hivi upo perfect Sana eti?
 
Sasa akiumwa si atakuletea na wewe?au siku hizi humping gudigudi?
 
Kabiiiiiiiiiisa lo hakuna wa kudanganywa wala nenee !

Wanaingia wakijua fikaaaa stil wanajiungiza!

Wee fumuuuuaaa tu lo wale vichwaaaa wale vichwaaaa kadri uwezavoooo!
😅😅😅mmmh kumekuchaa kumekuchaaa
 
Si uachane nae kwan umeshikwa hapo
Sepaaa Kanye maisha yako
 
Imani yangu itanilinda, uzinzi wa mme wangu hautaniua mimi, biblia inasema mshahara wa dhambi mauti siwezi kufa na ukimwi ambao cjautafuta ndio maana mtaani wajane wengi kuliko wGane
Yesu akutunze,na akupiganie pia
 
Nijue kwanza jinsia yako kama hutojali I'd yako imenichanganya ila nimetamani kudiscuss na wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…