Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,051
- 12,954
Kwa watu ambao tumewahi kuendesha gari nchi zaidi ya moja, ukija kuendesha hapa nyumbani hasa Dar es Salaam unaweza kutamani kupiga watu makofi.
Madereva wengi wa Dar hawana rush hour, sa 2 asubuhi ama sa 1 asubuhi wakati watu wana haraka ya kufika kazini unakuta mtu anaendesha gari kama vile amelazimishwa kutoka nyumbani kwake, yaani kama vile hapendi ama hataki, unajiuliza huyu ameingia barabarani kufanya nini?
Kutokujua matumizi ya barabara, unakuta dereva yuko kwenye right lane, ule ni upande wa kutembea kama huwezi weka gari kwenye left lane, lakini ajabu unakuta mtu kang'ang'ania kwenye right lane huku ana mwendo wa kobe, unajiuliza huyu alipita kweli driving school.
Kuingiza learners barabarani wakati wa rush hour, hua sielewi hawa wenye vyuo vya udereva kuamua kuingiza wanafunzi wao barabarani wakati wa rush hours, unakuta sa 2 ama 1 asubuhi wakati unawahi kibaruani eti kuna kigari cha driving school kuna mtu anafundishwa, kwa nini usimfundishe wakati wa mchana ambapo hakuna rush hours?
Madereva wenzangu, kama huna haraka, toka nyumbani sa 4 ama sa 5 usiingie barabarani kusumbua watu na kuwapotezea muda kushikilia barabara wakati wenzako wana haraka.
Nashukuru sana.
Madereva wengi wa Dar hawana rush hour, sa 2 asubuhi ama sa 1 asubuhi wakati watu wana haraka ya kufika kazini unakuta mtu anaendesha gari kama vile amelazimishwa kutoka nyumbani kwake, yaani kama vile hapendi ama hataki, unajiuliza huyu ameingia barabarani kufanya nini?
Kutokujua matumizi ya barabara, unakuta dereva yuko kwenye right lane, ule ni upande wa kutembea kama huwezi weka gari kwenye left lane, lakini ajabu unakuta mtu kang'ang'ania kwenye right lane huku ana mwendo wa kobe, unajiuliza huyu alipita kweli driving school.
Kuingiza learners barabarani wakati wa rush hour, hua sielewi hawa wenye vyuo vya udereva kuamua kuingiza wanafunzi wao barabarani wakati wa rush hours, unakuta sa 2 ama 1 asubuhi wakati unawahi kibaruani eti kuna kigari cha driving school kuna mtu anafundishwa, kwa nini usimfundishe wakati wa mchana ambapo hakuna rush hours?
Madereva wenzangu, kama huna haraka, toka nyumbani sa 4 ama sa 5 usiingie barabarani kusumbua watu na kuwapotezea muda kushikilia barabara wakati wenzako wana haraka.
Nashukuru sana.