Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,566
Habari wanajamvi?
Kuna hili suala la Kero za Muungano zilizogonga mwamba kutatuliwa Kwa awamu nyingi zilizopita!Lakini awamu hii ilipoingia tulitangaziwa kero hizo zilizosumbua sana zimetatuliwa chini ya SSH ndani ya muda mfupi!
Ajabu ni kwamba waandishi wa habari wakabeba taarifa kama walivuopokea na kuileta Kwa wananchi!Hawakuhoji kero hizo zilikuwa zipi na zimetatuliwa vipi na Nini kilishindikana awamu zilizopita na ikawezekana Kwa muda mfupi awamu ya 6!!
Mpaka sasa walioko jikoni ndio wanazijua hizo kero zilizotatuliwa, wananchi hatuzijui ni zipi!
Binafsi kero yangu Bado ipo kuhusu huu Muungano, ndio maana nawauliza waandishi waliolala, hawaoni ni jukumu lao kufuatilia na kutuhabarisha kero hizo ni zipi?
Isije ikawa kampa, kampa tena!
Kuna hili suala la Kero za Muungano zilizogonga mwamba kutatuliwa Kwa awamu nyingi zilizopita!Lakini awamu hii ilipoingia tulitangaziwa kero hizo zilizosumbua sana zimetatuliwa chini ya SSH ndani ya muda mfupi!
Ajabu ni kwamba waandishi wa habari wakabeba taarifa kama walivuopokea na kuileta Kwa wananchi!Hawakuhoji kero hizo zilikuwa zipi na zimetatuliwa vipi na Nini kilishindikana awamu zilizopita na ikawezekana Kwa muda mfupi awamu ya 6!!
Mpaka sasa walioko jikoni ndio wanazijua hizo kero zilizotatuliwa, wananchi hatuzijui ni zipi!
Binafsi kero yangu Bado ipo kuhusu huu Muungano, ndio maana nawauliza waandishi waliolala, hawaoni ni jukumu lao kufuatilia na kutuhabarisha kero hizo ni zipi?
Isije ikawa kampa, kampa tena!