All truth23
JF-Expert Member
- Jul 19, 2022
- 1,215
- 1,401
Leo Hapa Shinyanga maeneo ya Maganzo tumesimamishwa kwa zaidi ya Masaa 2 kisa tunasubiri Mwenge upite tu
Ila ki ukweli ni kero maana ebu ona mtu anaenda Mbeya afu unamsimamisha njiani ZAIDI ya Masaa 2 hii kero sana
Wahusika wazingatie hili kwa kweli.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Ila ki ukweli ni kero maana ebu ona mtu anaenda Mbeya afu unamsimamisha njiani ZAIDI ya Masaa 2 hii kero sana
Wahusika wazingatie hili kwa kweli.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app