Kero za tarehe ya Mshahara kufahamika na ndugu

Kero za tarehe ya Mshahara kufahamika na ndugu

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Bongo hii usiwe mtumishi serikalini yaani ni zaidi ya kero kila ikifika tarehe 22 Na 23 nyumbani huko simu zinaita wanataka uwagaie Na wenyewe posho ebu fikiria kwa mfano umekaa bench mwezi wote hujapata activity ya kufanya unatoka mshahara kalaki saba hakohako unadaiwa madeni karibia laki tatu. Je, kwa Salio linalobaki utaweza kuendesha maisha kwa mwezi mzima assume hujapata safari hata moja katikati ya mwezi na upo mkoa wa ugenini.

Sitaki kuutetea uchoyo ila jamani wazazi muwe mnaangaliwa ndo kwanza watoto wenu wanaanza maisha ya utumishi bado hawajajipanga kimaisha hawana miradi yoyote..unakuta Mzee ana Nyumba ana mashamba analima bado anataka atumiwe 50000 kila mwezi na mwanae na badala asubiri atumiwe mwenyewe yeye anafanya kama formula kabisa kwamba kila siku za mshahara anapiga simu kuomba.
 
Bongo hii usiwe mtumishi serikalini yaani ni zaidi ya kero kila ikifika tarehe 22 Na 23 nyumbani huko simu zinaita wanataka uwagaie Na wenyewe posho ebu fikiria kwa mfano umekaa bench mwezi wrote hujapata activity ya kufanya unatoka mshahara kalaki saba hakohako unadaiwa madeni karibia laki tatu. Je, kwa Salio linalobaki utaweza kuendesha maisha kwa mwezi mzima assume hujapata safari hata moja katikati ya mwezi na upo mkoa wa ugenini.

Sitaki kuutetea uchoyo ila jamani wazazi muwe mnaangaliwa ndo kwanza watoto wenu wanaanza maisha ya utumishi bado hawajajipanga kimaisha hawana miradi yoyote..unakuta Mzee ana Nyumba ana mashamba analima bado anataka atumiwe 50000 kila mwezi na mwanae na badala asubiri atumiwe mwenyewe yeye anafanya kama formula kabisa kwamba kila siku za mshahara anapiga simu kuomba.
wazazi huwezi kuwakwepa, na wala hawatakagi hela nyingi, sanasana ni za mboga
sema hao ndugu wengine usiwandekeze
 
Bongo hii usiwe mtumishi serikalini yaani ni zaidi ya kero kila ikifika tarehe 22 Na 23 nyumbani huko simu zinaita wanataka uwagaie Na wenyewe posho ebu fikiria kwa mfano umekaa bench mwezi wrote hujapata activity ya kufanya unatoka mshahara kalaki saba hakohako unadaiwa madeni karibia laki tatu. Je, kwa Salio linalobaki utaweza kuendesha maisha kwa mwezi mzima assume hujapata safari hata moja katikati ya mwezi na upo mkoa wa ugenini.

Sitaki kuutetea uchoyo ila jamani wazazi muwe mnaangaliwa ndo kwanza watoto wenu wanaanza maisha ya utumishi bado hawajajipanga kimaisha hawana miradi yoyote..unakuta Mzee ana Nyumba ana mashamba analima bado anataka atumiwe 50000 kila mwezi na mwanae na badala asubiri atumiwe mwenyewe yeye anafanya kama formula kabisa kwamba kila siku za mshahara anapiga simu kuomba.
We nawe mchoyo tuuuuuu....50000 ndio unakuja kutupigia makelele hapa!!! Kwenda hukooo
 
Bongo hii usiwe mtumishi serikalini yaani ni zaidi ya kero kila ikifika tarehe 22 Na 23 nyumbani huko simu zinaita wanataka uwagaie Na wenyewe posho ebu fikiria kwa mfano umekaa bench mwezi wrote hujapata activity ya kufanya unatoka mshahara kalaki saba hakohako unadaiwa madeni karibia laki tatu. Je, kwa Salio linalobaki utaweza kuendesha maisha kwa mwezi mzima assume hujapata safari hata moja katikati ya mwezi na upo mkoa wa ugenini.

Sitaki kuutetea uchoyo ila jamani wazazi muwe mnaangaliwa ndo kwanza watoto wenu wanaanza maisha ya utumishi bado hawajajipanga kimaisha hawana miradi yoyote..unakuta Mzee ana Nyumba ana mashamba analima bado anataka atumiwe 50000 kila mwezi na mwanae na badala asubiri atumiwe mwenyewe yeye anafanya kama formula kabisa kwamba kila siku za mshahara anapiga simu kuomba.
wewe jali baba na mama yako tu, hao ndiyo chemchemi ya baraka zako. wengine wote hata siku ukikosa kazi watakunywa pombe kusherehekea. achana nao
 
Bongo hii usiwe mtumishi serikalini yaani ni zaidi ya kero kila ikifika tarehe 22 Na 23 nyumbani huko simu zinaita wanataka uwagaie Na wenyewe posho ebu fikiria kwa mfano umekaa bench mwezi wrote hujapata activity ya kufanya unatoka mshahara kalaki saba hakohako unadaiwa madeni karibia laki tatu. Je, kwa Salio linalobaki utaweza kuendesha maisha kwa mwezi mzima assume hujapata safari hata moja katikati ya mwezi na upo mkoa wa ugenini.

Sitaki kuutetea uchoyo ila jamani wazazi muwe mnaangaliwa ndo kwanza watoto wenu wanaanza maisha ya utumishi bado hawajajipanga kimaisha hawana miradi yoyote..unakuta Mzee ana Nyumba ana mashamba analima bado anataka atumiwe 50000 kila mwezi na mwanae na badala asubiri atumiwe mwenyewe yeye anafanya kama formula kabisa kwamba kila siku za mshahara anapiga simu kuomba.

pole sana chief, ndio maisha ya kiafrica hayo
 
Walimu wanatokea maisha duni
Mishahara yao duni


Niliwai kuwa na demu mwalimu alikuwa ni single mother nikamtafutia kazi ya ualimu salary laki 3 akawa anatuma kwao kila mwezi 70K
Analipa ada ya mtoto wake 35K
Boda boda 20K
Anakoishi yeye alipe kodi avae
Pia atume hela ya matibabu kwa mwanae na nguo muda huo huo akawa anamsomesha mdogo wake pharmacy ada 1.4 kwa mwaka [emoji23][emoji23][emoji23]

Yote haya hakuwai kuniambia ila nikawa nashangaa ananiomba hela saaana

Nikamtoa kwenye hiyo shule nikamtafutia nyingine ambayo ipo wilaya ya jirani na kwao mshahara pale ukawa ni laki 5
Sasa alivyoona mshahara ni laki 5 akaona ni nyingi saana akawatangazia ndugu zake
Now day mama yake akaanza kudai ajengewe [emoji23][emoji23]

Pale kwao kulikuwa kuna nyumba kubwa inajengwa ikaishia msingi akaja kuniambia nimkopeshe milioni 5 aimalizie ile nyumba (msingi wa vyumba 4 kigoma mjini alafu yeye anataka aumalizie kwa milioni 5 [emoji3])

Nikamwita fundi kupiga hesabu mpaka nyumba kukamilika bila finishing ni milion 22 plus finishing 30+ akawa mpole

Akaamua kujenga vyumba viwili mama yake akafyumu (anadhani laki 5 ni pesa nyingi) so nyumba now ipo kwenye lenta mwalimu na laki 5 tano zake yupo anajichanga aweke bati

NADHANI KUTAJA PIA MISHAHARA KUNACHANGIA KUOMBWA PESA AU KUFANYA KAZI ZINAZOJULIKANA saana mfano
Polisi
Jwtz
Ualimu
Dr
TRA
Bank

Kuna fanya wanandugu wajue mzunguko wenu tofauti na watu wanaofanya kazi ambazo sio maarufu kama
Tpdc
Tbs
NGOs
 
Ila niwape tu pole wale ambao wanakuwa wa kwanza kwenye ukoo kupata hela unakuta inatakiwa ajenge mpaka kwao [emoji34][emoji34]

Kuna dogo napiga nae job take home ni kama 2.3 mpaka 2.8 milioni huyo dogo ana wadogo 13 na yeye ndio wa kwanza ana wadogo 3 wamefaulu form four walipata division 3 inatakiwa awasomeshe vyuo

Pia dingi wake anataka ajengewe nyumba bad enough baba yake ana wake 3

Hao wadogo zake 13 anachangia nao baba na mama bado wale anaochangia nao baba tu [emoji21]

Huwa ananipa simu nisome meseji za wanaukoo wake huwa nacheka saana unakuta mtu anajitambulisha yeye ni nan end of the day anaomba hela
 
Walimu wanatokea maisha duni
Mishahara yao duni


Niliwai kuwa na demu mwalimu alikuwa ni single mother nikamtafutia kazi ya ualimu salary laki 3 akawa anatuma kwao kila mwezi 70K
Analipa ada ya mtoto wake 35K
Boda boda 20K
Anakoishi yeye alipe kodi avae
Pia atume hela ya matibabu kwa mwanae na nguo muda huo huo akawa anamsomesha mdogo wake pharmacy ada 1.4 kwa mwaka [emoji23][emoji23][emoji23]

Yote haya hakuwai kuniambia ila nikawa nashangaa ananiomba hela saaana

Nikamtoa kwenye hiyo shule nikamtafutia nyingine ambayo ipo wilaya ya jirani na kwao mshahara pale ukawa ni laki 5
Sasa alivyoona mshahara ni laki 5 akaona ni nyingi saana akawatangazia ndugu zake
Now day mama yake akaanza kudai ajengewe [emoji23][emoji23]

Pale kwao kulikuwa kuna nyumba kubwa inajengwa ikaishia msingi akaja kuniambia nimkopeshe milioni 5 aimalizie ile nyumba (msingi wa vyumba 4 kigoma mjini alafu yeye anataka aumalizie kwa milioni 5 [emoji3])

Nikamwita fundi kupiga hesabu mpaka nyumba kukamilika bila finishing ni milion 22 plus finishing 30+ akawa mpole

Akaamua kujenga vyumba viwili mama yake akafyumu (anadhani laki 5 ni pesa nyingi) so nyumba now ipo kwenye lenta mwalimu na laki 5 tano zake yupo anajichanga aweke bati

NADHANI KUTAJA PIA MISHAHARA KUNACHANGIA KUOMBWA PESA AU KUFANYA KAZI ZINAZOJULIKANA saana mfano
Polisi
Jwtz
Ualimu
Dr
TRA
Bank

Kuna fanya wanandugu wajue mzunguko wenu tofauti na watu wanaofanya kazi ambazo sio maarufu kama
Tpdc
Tbs
NGOs
Pia inategemea na familia mm sijawahi kutuma hizo pesa na mzaziwangu anajua najichanga nilichofaulu ni kumpa kamtaji hili nilifanya kabla sijapata kazi
Kilakitu ujiwekee mipak mwenyew na mshahara mdogo lkn Kwa ni lazima niwek akiba Kila mwez
Inshallah wepesi utapatikana huko mbele tutawapa laki 5 Kwa mwezi
 
Ila niwape tu pole wale ambao wanakuwa wa kwanza kwenye ukoo kupata hela unakuta inatakiwa ajenge mpaka kwao [emoji34][emoji34]

Kuna dogo napiga nae job take home ni kama 2.3 mpaka 2.8 milioni huyo dogo ana wadogo 13 na yeye ndio wa kwanza ana wadogo 3 wamefaulu form four walipata division 3 inatakiwa awasomeshe vyuo

Pia dingi wake anataka ajengewe nyumba bad enough baba yake ana wake 3

Hao wadogo zake 13 anachangia nao baba na mama bado wale anaochangia nao baba tu [emoji21]

Huwa ananipa simu nisome meseji za wanaukoo wake huwa nacheka saana unakuta mtu anajitambulisha yeye ni nan end of the day anaomba hela
😀😀😀Ukiwa na roho nyepesi huwez fanikiwa
Hata usomeshe ukoo hata ufanyaje uwe mwema kiasi gani hakuna kitachoongezeka kwako na Hao Hao mamboyako yakiwa mabaya ndo wataanza kuku cheka inabid utoe Kwa kiasi na ukumbuke naw utakuwa na familia
 
Shangazi aliniambia nimsomeshee mtoto, ada 1,500,000. sijamuelewa hadi leo
Kuna shangazi yangu muda wote ni kuomba mpunga wakati ana watoto wake pia wapo serikalini, lakini anawaacha anakuja kwangu mizinga ya dharura na pasaka ya kutosha...mara nini sijui dah..!!...wakati matoto yake hasa la kiume LIKO huko MSD limenenepeana kubabake hata halimsaidii Maza wake....nimepiga kimya vibaya mno kila mtu aegemee alikodekeza
 
Back
Top Bottom