spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Mimi ndugu hawaniumi sana mana hawaniombagi sana hadi nitake kutoa
Shida madem yani tarehe zikifika wananimiss sanaa
Shida madem yani tarehe zikifika wananimiss sanaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeelewa unavyojihisi. Ila kaka, kama ana ndugu 13 asipowasaidia yeye ndugu zake nani aende akawasaidie ?Ila niwape tu pole wale ambao wanakuwa wa kwanza kwenye ukoo kupata hela unakuta inatakiwa ajenge mpaka kwao [emoji34][emoji34]
Kuna dogo napiga nae job take home ni kama 2.3 mpaka 2.8 milioni huyo dogo ana wadogo 13 na yeye ndio wa kwanza ana wadogo 3 wamefaulu form four walipata division 3 inatakiwa awasomeshe vyuo
Pia dingi wake anataka ajengewe nyumba bad enough baba yake ana wake 3
Hao wadogo zake 13 anachangia nao baba na mama bado wale anaochangia nao baba tu [emoji21]
Huwa ananipa simu nisome meseji za wanaukoo wake huwa nacheka saana unakuta mtu anajitambulisha yeye ni nan end of the day anaomba hela
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwafrica hata ukifa bado una kazi ya kuombea ndugu zako kama mzimu! Hatupumziki. Africans tuna changamoto nyingi sana Kwenye maisha.
Kama ni mzazi mtumie tu hakuna namnaBongo hii usiwe mtumishi serikalini yaani ni zaidi ya kero kila ikifika tarehe 22 Na 23 nyumbani huko simu zinaita wanataka uwagaie Na wenyewe posho ebu fikiria kwa mfano umekaa bench mwezi wote hujapata activity ya kufanya unatoka mshahara kalaki saba hakohako unadaiwa madeni karibia laki tatu. Je, kwa Salio linalobaki utaweza kuendesha maisha kwa mwezi mzima assume hujapata safari hata moja katikati ya mwezi na upo mkoa wa ugenini.
Sitaki kuutetea uchoyo ila jamani wazazi muwe mnaangaliwa ndo kwanza watoto wenu wanaanza maisha ya utumishi bado hawajajipanga kimaisha hawana miradi yoyote..unakuta Mzee ana Nyumba ana mashamba analima bado anataka atumiwe 50000 kila mwezi na mwanae na badala asubiri atumiwe mwenyewe yeye anafanya kama formula kabisa kwamba kila siku za mshahara anapiga simu kuomba.
Halafu mzaziWe nawe mchoyo tuuuuuu....50000 ndio unakuja kutupigia makelele hapa!!! Kwenda hukooo
Mkuu umeongea ukweli..Pole kwa mitihani hiyo
Mimi nashukuru wazazi hawajawahi kuniomba hata senti yangu moja
Ila nalazimisha tu kuwapa kama Asante kwa kunizaa
Kuna wakati nilikosa kazi kwa mda na niko ugenini walikuwa wananitumia hela wao ingawa nilikuwa nakataa ila wanatuma tu
Wavumilieni wazazi wenu kama hawana kitu kwani ni mipango ya Mungu
Usimlalamikie mzazi hata siku moja bali Omba wakuombee sana na hutakosa kitu duniani
Ila ukiwa wa lawama hata kwa wazazi basi ni mtihani mkubwa
Jitume hata kibiashara kidogo after work ikuingizie cha ziada ili uwakumbuke zaidi
Amini hili ukiwatunza vizuri wazazi hutakosa kitu
Punguza matumizi yasio ya lazima pia
SawaMkuu umeongea ukweli..
Yeye alipelekaje mtoto shule ya ada 1.5 na anajua hana uwezo wa kusomesha?!Shangazi aliniambia nimsomeshee mtoto, ada 1,500,000. sijamuelewa hadi leo
Kwanini aliwaambia anafanya kazi mbaya zaidi kuna uwezekano wanajua makadirio ya mshahara wake.Ila niwape tu pole wale ambao wanakuwa wa kwanza kwenye ukoo kupata hela unakuta inatakiwa ajenge mpaka kwao [emoji34][emoji34]
Kuna dogo napiga nae job take home ni kama 2.3 mpaka 2.8 milioni huyo dogo ana wadogo 13 na yeye ndio wa kwanza ana wadogo 3 wamefaulu form four walipata division 3 inatakiwa awasomeshe vyuo
Pia dingi wake anataka ajengewe nyumba bad enough baba yake ana wake 3
Hao wadogo zake 13 anachangia nao baba na mama bado wale anaochangia nao baba tu [emoji21]
Huwa ananipa simu nisome meseji za wanaukoo wake huwa nacheka saana unakuta mtu anajitambulisha yeye ni nan end of the day anaomba hela
kuna majukumu ambayo kama mzazi inabidi uyabebe ... usiache kiporo kwa ajiri ya mtu mwingine yeyote yule .... labda itokee umefariki/umelemaa before watoto wajitegemee.Nimeelewa unavyojihisi. Ila kaka, kama ana ndugu 13 asipowasaidia yeye ndugu zake nani aende akawasaidie ?
Tusifundishane uchoyo, hela zipo tu, weka hakiba yako kias kdg, kingine asaidia wadogo zake.
Mtoto wa kwanza wazaz wanatumia nguvu nyingi kumsomesha kwa lengo la kwamba akifanikiwa atakuja kusaidia wazaz wake. Na ni wajib wetu kuwasaidia wadogo zetu bro. Sikatai tuna mitazamo tofuat na tumeumbwa tofaut kwaio mtu ni maamuzi yake kusaidia wadogo zake wasome waje wafanikiwe kama yeye au awa ache wadhalilike na kuishia njiani kimasomo.
Walimu wanatokea maisha duni
Mishahara yao duni
Niliwai kuwa na demu mwalimu alikuwa ni single mother nikamtafutia kazi ya ualimu salary laki 3 akawa anatuma kwao kila mwezi 70K
Analipa ada ya mtoto wake 35K
Boda boda 20K
Anakoishi yeye alipe kodi avae
Pia atume hela ya matibabu kwa mwanae na nguo muda huo huo akawa anamsomesha mdogo wake pharmacy ada 1.4 kwa mwaka [emoji23][emoji23][emoji23]
Yote haya hakuwai kuniambia ila nikawa nashangaa ananiomba hela saaana
Nikamtoa kwenye hiyo shule nikamtafutia nyingine ambayo ipo wilaya ya jirani na kwao mshahara pale ukawa ni laki 5
Sasa alivyoona mshahara ni laki 5 akaona ni nyingi saana akawatangazia ndugu zake
Now day mama yake akaanza kudai ajengewe [emoji23][emoji23]
Pale kwao kulikuwa kuna nyumba kubwa inajengwa ikaishia msingi akaja kuniambia nimkopeshe milioni 5 aimalizie ile nyumba (msingi wa vyumba 4 kigoma mjini alafu yeye anataka aumalizie kwa milioni 5 [emoji3])
Nikamwita fundi kupiga hesabu mpaka nyumba kukamilika bila finishing ni milion 22 plus finishing 30+ akawa mpole
Akaamua kujenga vyumba viwili mama yake akafyumu (anadhani laki 5 ni pesa nyingi) so nyumba now ipo kwenye lenta mwalimu na laki 5 tano zake yupo anajichanga aweke bati
NADHANI KUTAJA PIA MISHAHARA KUNACHANGIA KUOMBWA PESA AU KUFANYA KAZI ZINAZOJULIKANA saana mfano
Polisi
Jwtz
Ualimu
Dr
TRA
Bank
Kuna fanya wanandugu wajue mzunguko wenu tofauti na watu wanaofanya kazi ambazo sio maarufu kama
Tpdc
Tbs
NGOs