mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
Ila niwape tu pole wale ambao wanakuwa wa kwanza kwenye ukoo kupata hela unakuta inatakiwa ajenge mpaka kwao [emoji34][emoji34]
Kuna dogo napiga nae job take home ni kama 2.3 mpaka 2.8 milioni huyo dogo ana wadogo 13 na yeye ndio wa kwanza ana wadogo 3 wamefaulu form four walipata division 3 inatakiwa awasomeshe vyuo
Pia dingi wake anataka ajengewe nyumba bad enough baba yake ana wake 3
Hao wadogo zake 13 anachangia nao baba na mama bado wale anaochangia nao baba tu [emoji21]
Huwa ananipa simu nisome meseji za wanaukoo wake huwa nacheka saana unakuta mtu anajitambulisha yeye ni nan end of the day anaomba hela
Huyu watamuua kama si kwa mawazo basi tunguli.
Kwanini watu wanaruhusu vipato vifahamike na ukoo mzima??mimi hata mzazi anajua sababu kazi aliyoifanya ina asili hii ya kwangu,lakini si baba mdogo wala shangazi.
Nimekaa na watu kazini mtu anakwambia bro kwetu hata nikienda na gari nimejiharibia[emoji23][emoji23][emoji23],ntapata tabu sana.