Mr Why
JF-Expert Member
- Nov 27, 2019
- 2,235
- 4,252
Kero zote zinapita lakini kero ya jirani yako kujenga ghorofa angali yako nyumba ni kero ya kudumu kwasababu anakuchungulia kwa juu
Wengi wanakumbwa na hii kero wengine hata wanafikia hatua ya kukata tamaa kwasababu wanachunguliwa kwa juu
Mwenye nyumba wakati mwingine anatamani kukaa uwani hata uchi ajiachie apigwe upepo lakini anashindwa kwasababu ya kupigwa jicho kwa juu
Ipo mikoa mingine wamefikia hatua ya kuwakatalia majirani wanaotaka kujenga maghorofa ili waendelee kuishi kwa uhuru mfano Tanga na kwingineko
Kero hii ya kuchunguliwa kwa juu ni mbaya sana na omba isikukute utatamani kuuza nyumba
Wengi wanakumbwa na hii kero wengine hata wanafikia hatua ya kukata tamaa kwasababu wanachunguliwa kwa juu
Mwenye nyumba wakati mwingine anatamani kukaa uwani hata uchi ajiachie apigwe upepo lakini anashindwa kwasababu ya kupigwa jicho kwa juu
Ipo mikoa mingine wamefikia hatua ya kuwakatalia majirani wanaotaka kujenga maghorofa ili waendelee kuishi kwa uhuru mfano Tanga na kwingineko
Kero hii ya kuchunguliwa kwa juu ni mbaya sana na omba isikukute utatamani kuuza nyumba