Kesho (30-03-2021) ninaenda kufanya "Oral Interview" kwenye N.G.O huku Dar. Niombeeni kwa Mungu ndugu zangu, mtaani maisha ni magumu sana

Kwhyo mung akusaidie wewe ili hao 7 waachwe hpo kaz upati ndo kwnza naenda kuloga
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sasa bro mbona ivo wee kama hutaki kunijibu niambie tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]usiniwekee vikwazo kama mabeberu na mozambique
Poa mkuu, all the best.
 
Nilikuombea sana na nina imani wengi walifanya hivyo, ni vyema ungetufahamisha Kama ulivyofanya awali pindi unaomba tukuombee. Vipi mkuu ulifanikiwa?
 
Ananiwekea vikwazo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hajui kama wakati anaweka tangazo lake mi sikuwa na bando
Hili jambo lake linachekesha, habari kaileta vizuri ila mrejesho hatoi kirahisi...mi style aliyonipea mrejesho nilicheka sana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…