Kakupa pm naona wadada ndio wanapewa mrejesho sijui nia yake nini[emoji1787][emoji1787]Hili jambo lake linachekesha, habari kaileta vizuri ila mrejesho hatoi kirahisi...mi style aliyonipea mrejesho nilicheka sana [emoji23][emoji23][emoji23]
Hajanipa pm kwenye thread tu ila style alonijibu ni funnyKakupa pm naona wadada ndio wanapewa mrejesho sijui nia yake nini[emoji1787][emoji1787]
Pole sana mkuu. Ipo siku Mungu atakufungulia milango ya baraka.Mshukuru Mola kwa kupata hata nafasi ya interview... Sie wengine hata interview za kufua mashuka kwenye guest houses hatupati
Mbona mrejesho nimewapa wote walioniombea kwa MunguKo mkuu umegoma kutupa mrejesho kabisa???
Mkuu, uliniombea kwa Mungu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sawa mkuu
Huu uzi uliandika toka mwezi wa tatu lkn kuna comments zimeunyanyua tena, vipi uliipata hiyo kazi mkuu???Mkuu, uliniombea kwa Mungu?
Vyama vya siasa vivunje sheria vyenyewe alafu wakulaumiwa awe Rais Samia? Hapana aisee. Samia anaonewa sana na upinzani sababu amezidi kuwadekezaKampuni ya Mafuta ya Total Tanzania, Yampongeza Rais Samia na Kuipongeza Tanzania, Kujenga Mazingira Bora ya Biashara ya Mafuta, Uwekezaji.
Asante sana mkuuMungu akupe hitaji la moyo wako
Kama miaka mitano tu Rais Samia ametupeleka uchumi wa kati je tukimpa miaka kumi mingine itakuwaje?Kupigia kura aliyetumwa na Wazungu mwaka 2020 hadi mababu na mabibi wangetulaani Kura yangu nilimpa Rais Samia tu.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Ile tulianza na writen kufunua pepa tu Physics, Hesabu na Industry Chemistry za kufa mtu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nafasi zilikuwa mbili mshara ulikuwa kufuru na alowance zingine, maana hadi watabe kutoka nje walikuja.. Furukuta na kufurukuta sina scientific calculator mzee naazima azima tu, nikaonekana sipo serious nikaishia tazama mapaja ya Snr HR kupoza mahasira .. pepa inakuja nimepata 70% .. kuna wanga walitoboa zaidi ya hapo. Nikafunga virago hasubuhi na mapema.. huyo home.. na ndio ikawa interview yangu ya mwisho.. hadi leo sijawahi tena fanya interview