Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchambuzi ulioshiba kuhusu kilichotokea leo kule Mbarali. Hapa Maestro, pale Jef Leah, pembeni kuna Mzee wa Jambia bila kumsahau Mwana wa Kazumari.
Damu itamwagika kesho…
[emoji28][emoji28] nimepishana nao ubongo wapo kwenye guta wanasukumanaWanalala kweli au washaanza safari
Nimepishana nao wapo kwenye Super Rogers fuso wanaenda airport hawawezi lala Mbeya wanaogopa aibu.Wanalala kweli au washaanza safari
Kipindi ni saa ngapiUchambuzi ulioshiba kuhusu kilichotokea leo kule Mbarali. Hapa Maestro, pale Jef Leah, pembeni kuna Mzee wa Jambia bila kumsahau Mwana wa Kazumari.
Damu itamwagika kesho…
damu ya nani?Uchambuzi ulioshiba kuhusu kilichotokea leo kule Mbarali. Hapa Maestro, pale Jef Leah, pembeni kuna Mzee wa Jambia bila kumsahau Mwana wa Kazumari.
Damu itamwagika kesho…
Ww nawe mbona umekuwa mkali. HII IMEENDAMpira ni Mchezo WA Fair Pray.
FIFA wenye Mpira wao wanasisitiza sana FAIR PRAY.
USIWE CHIZI SOKA.
peleka UTOTO FB huko
Ya hao "wacha mbuzi"!damu ya nani?
Unakatwa na GENTAMYCINEMpira ni Mchezo WA Fair Pray.
FIFA wenye Mpira wao wanasisitiza sana FAIR PRAY.
USIWE CHIZI SOKA.
peleka UTOTO FB huko