Mbumbumbu fc lazima mkaingizwe za kutosha Kongo ( in
Yaaani roho za kimasikini utazijua tuu, badala mkomae mfikie viwango vyetu. Mnatuombea tuludi kuwa kama nyie.Mbumbumbu fc lazima mkaingizwe za kutosha Kongo ( in Mwinyi Zahera's voice)
Hivi mechi itarushwa na chanel gani?
Amina(1) kocha mgeni tumpe muda.
(2)timu imecheza vzr ila pale kati bado.
(3)Chama akiwa ugenini sijui anakuaje..
Eti nae huyu ni baba wa familia(1) kocha mgeni tumpe muda.
(2)timu imecheza vzr ila pale kati bado...