Kesho baada ya mechi ya Simba FC tutegemee kauli hizi kutoka kwao

UTOPOLO, unachungulia uzi wako unajifanya kama haujaandika wewe, unachungulia, kisha unakula kona. Ndo hivyo Wa Kimataifa kashapata Point 3 saaaafi huko ugenini. Wwe utooooo na husda zako umeumia sana, na hili litakua jambo endelevu, mutaumia sana kwa Simba, sisi twasonga mbele
 
Simba baada ya kumuona Tshitshimbi wakajua wanacheza na yanga hapo ndipo tatizo lilipoanzia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji881]
Ila utopolo mnatia huruma nyambafuuu

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Uto kama uto
 
Baada ya mechi
 
Chama akiwa ugenini cjui anakuaje..?๐Ÿšฎ
๐Ÿšถ๐Ÿšถ๐Ÿšถ๐Ÿ™Œ
 
Vp hapo ulipo simba imeshinda wajisikiaje
 
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜…๐Ÿ˜„๐Ÿ˜ƒ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜๐Ÿ˜€
Simba Sport Club
Nguvu Moja, Siyo Kama Ile Ya Kijani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ