computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,480
- 6,029
Argentina [emoji1033] Argentina [emoji1033] Argentina [emoji1033] Argentina [emoji1033] Argentina [emoji1033] vamosssssssssss
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushahidi uko wapiFIFA wanataka kumuaga king wa mpira messi na kombe la dunia...
ARGENTINA inapewa Penalty sababu ya messi..
Messi akiumia ama akikaa benchi hakuna penalty watakayopewa kama zilizopita
Umeongea kwa hisia ukweli mtupu, hawa Fifa wana jambo lao.Argentina hii haina best attacking kuliko timu zote katika history ya world cup.
Kuna timu kibao zimeshaenda world cup na attacking force za kufa mtu.. wanashambulia mwanzo mwisho.
Spain ya kina xavi na iniesta walikuwa wana mpira wao muda wote wanapiga pasj buku. Wakija golini kwako hawaondokiii ni nusu uwanja tu.. ila bado hawakuwa hawakufikisha penalty hata 2 za kupewa mashindano yote.
Brazili imeshaenda world cup ikiwa na ronaldo di lima, ronaldinho, kaka, wakiwa katika form.. ila bado hawakupewa penalty hata 2.
Hata argentina yenyewe miaka ya nyuma ilishawai kwenda world cup ikiwa na messi wa moto.. sio huyu mzee.. na hapo aguero wa moto, di maria wa motoo, higuain wa moto.. ila bado hawakupewa penalty hata 3.
Argentina hii ndio imevunja rekodi ya kombe la dunia.. timu moja kupewa penalty 5 katika mechi 6 tofauti mfululizo haijawai tokea
and this is our shoddy levels of thinkingTushapeleka bahasha kwanini valane asimkwatue messi kusudi ili penalty ipatikane maana kwake muamala umesoma toka juzi, pia refa ameahidiwa maisha bora akitoa penalty mbili kesho.
Nyie mtaloweza kufanya mpaka sasa ni kuamua kuungana na sisi wa Argentina wa ikwiriri au mbaki upande wa maumivu.
Naona cr7 masalia mnateseka sanaUmeongea kwa hisia ukweli mtupu, hawa Fifa wana jambo lao.
Ukiangalia penalt zinazotolewa ni za mchongo
Mechi ya jana kama ingekuwa inahusisha Argentina lazima yale matukio yangeamuliwa ni penaltiHata zile moment za leo angekuwa messi angepewa penalty.
Ilikuwa ni lazimaNgoja tuone...
YametimiaWatapewa na atapiga shotii
Kwani Kuna idadi au kiwango Cha penalties kwa mechi ambacho timu inatakiwa kupata?Argentina hii haina best attacking kuliko timu zote katika history ya world cup.
Kuna timu kibao zimeshaenda world cup na attacking force za kufa mtu.. wanashambulia mwanzo mwisho.
Spain ya kina xavi na iniesta walikuwa wana mpira wao muda wote wanapiga pasj buku. Wakija golini kwako hawaondokiii ni nusu uwanja tu.. ila bado hawakuwa hawakufikisha penalty hata 2 za kupewa mashindano yote.
Brazili imeshaenda world cup ikiwa na ronaldo di lima, ronaldinho, kaka, wakiwa katika form.. ila bado hawakupewa penalty hata 2.
Hata argentina yenyewe miaka ya nyuma ilishawai kwenda world cup ikiwa na messi wa moto.. sio huyu mzee.. na hapo aguero wa moto, di maria wa motoo, higuain wa moto.. ila bado hawakupewa penalty hata 3.
Argentina hii ndio imevunja rekodi ya kombe la dunia.. timu moja kupewa penalty 5 katika mechi 6 tofauti mfululizo haijawai tokea
Huyo Ramos katobolewa mara ngapi na Messi Real Madrid?Bora Ramos kiboko ya hawa wakina Messi,Salah angekuwepo.
Timu gn hiyo kila game penalt!
Penalty halal kabisha sheheKombe la dunia linazidi kupoteza uhalisia