Kesho Lissu asipotulia tena yatamkuta yale yaliomkuta 2019 mbele ya Masilingi

Huwezi kusaga sumu ukawa na mawazo yenye kujenga.Utabaki kuwa muimba sifa wa marehemu
 
Watu hawaijuwai hii njemba ikifanikiwa kutawala nchi inaweza kutuuza, maana nikibalaka wa wazungu.
 
Shujaa wa Africa!!! Africa ipi,Misri ,SA,Nigeria.

Tukumbushane huyu shujaa kaifanyia nin Africa hasa sisi watu wa Morocco.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…