Ndiho
JF-Expert Member
- Feb 23, 2013
- 2,306
- 1,532
Watu wataondoka usiku huu na wataamkia kuleKwa utawala huu hilo linawezekana kabisa, hawana kazi ya maana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wataondoka usiku huu na wataamkia kuleKwa utawala huu hilo linawezekana kabisa, hawana kazi ya maana
Mkuu.. Huyo ni Le Mutuz yupo katika JINSIA ya pili.Habari za Geita mkuu .
...hakika huyu Kiumbe ana Gamble na maisha ya wana kaskazini...Ni gambler huyu..Huyu Gambo ni mtu mjinga sana.
...Hasa Chaito...huo ujinga wapeleke uko kwao kanda ya ziwa
Watakagua kutokea wapi sasa?wakague na yanayotoka:
(i) Tunduma-Mbeya-Moshi (kupitia Iringa-Dodoma),
(ii) Mwanza-Serengeti-Arusha,
(iii) Bukoba-Kahama-Singida-Katesh-Babati,
(iv) Kigoma-Tabora-Singida-Arusha,
(v) Tanga-Moshi,
(vi) Kisii-Narok-Namanga-Moshi,
(vii) Thika-Nairobi-Loitoktok-Tarakea-Moshi,
(viii) Kajiado-Namanga-Sanya juu-Moshi,
(ix)Arusha-Moshi,
(x) Karatu-Arusha-Moshi,
(xi) Mombasa-Voi-Holili-Moshi,
(xii) Mombasa-Lungalunga-Tanga-Moshi.
Kwa UFUPI, Wazuie mabasi na magari yoye Nchini kwa siku MBILI ili kupisha mvua kunyesha na Jua kuwaka..
......Hapo sasa!Hayo ndiyo matatizo ya akili ndogo kuongoza akili kubwa.
kuna Taarifa ambazo tunazifwatilia kuwa siku ya Kesho Mikoa ya kanda ya kaskazini hasa Arusha Kuna uwezekano mkubwa sana Magari yaendeyo mkoani Kilimanjaro kuzuiliwa kwa kigezo cha kufanyia uchunguzi wa kitalaam hii inawagusa watu kuwa nikutokana na watu wengi kwenda kumzika mzee Ndesamburo swali watu wanalojiuliza watakagua mpaka mavazi ya Chama?
sinema ni Nyingi kuliko TV
V-Wanda
Kanawe ukalaleAcheni kutafuta ya kujadili kiudaku, juzi mmetoka kupiga kelele eti polisi hawakucheki gari bovu leo mnatumia kiki ya msiba kudanganyana.
Magufuli 2020
Siyo kidogoSiasa za misiba zinatia aibu.
Panya roadAcheni kutafuta ya kujadili kiudaku, juzi mmetoka kupiga kelele eti polisi hawakucheki gari bovu leo mnatumia kiki ya msiba kudanganyana.
Magufuli 2020
kuna Taarifa ambazo tunazifwatilia kuwa siku ya Kesho Mikoa ya kanda ya kaskazini hasa Arusha Kuna uwezekano mkubwa sana Magari yaendeyo mkoani Kilimanjaro kuzuiliwa kwa kigezo cha kufanyia uchunguzi wa kitalaam hii inawagusa watu kuwa nikutokana na watu wengi kwenda kumzika mzee Ndesamburo swali watu wanalojiuliza watakagua mpaka mavazi ya Chama?
sinema ni Nyingi kuliko TV
V-Wanda