Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,135
- 48,827
Kanda ya ziwa tuna jiji safi la mwanza
Na watu wanajielewa sana huku.
Acheni uzushi wa kimbumbumbu namna hii, ndo sbb badala ya kufanya kazi za maendeleo tunaharakia kuilaumu serikali.....amkeni......acheni ufala huu!!kuna Taarifa ambazo tunazifwatilia kuwa siku ya Kesho Mikoa ya kanda ya kaskazini hasa Arusha Kuna uwezekano mkubwa sana Magari yaendeyo mkoani Kilimanjaro kuzuiliwa kwa kigezo cha kufanyia uchunguzi wa kitalaam hii inawagusa watu kuwa nikutokana na watu wengi kwenda kumzika mzee Ndesamburo swali watu wanalojiuliza watakagua mpaka mavazi ya Chama?
sinema ni Nyingi kuliko TV
V-Wanda
Kunguru mwoga hukimbiza bawa lakeKwa utawala huu hilo linawezekana kabisa, hawana kazi ya maana
Misukule @ work!kuna Taarifa ambazo tunazifwatilia kuwa siku ya Kesho Mikoa ya kanda ya kaskazini hasa Arusha Kuna uwezekano mkubwa sana Magari yaendeyo mkoani Kilimanjaro kuzuiliwa kwa kigezo cha kufanyia uchunguzi wa kitalaam hii inawagusa watu kuwa nikutokana na watu wengi kwenda kumzika mzee Ndesamburo swali watu wanalojiuliza watakagua mpaka mavazi ya Chama?
sinema ni Nyingi kuliko TV
V-Wanda
He kumbe ni mwnaaume ..wtu tunajua jikeMkuu.. Huyo ni Le Mutuz yupo katika JINSIA ya pili.
Habari za Geita mkuu .