TAARIFA KWA UMMA
Kesho natalajia kufungua kesi dhidi ya Tigo Tanzania kwa kukiuka haki za mlaji/mteja wake.
Tokea jana tarehe 6/04/2021 saa 11.15 jioni miamala ya tigo ilikuwa haitoki wala huwezi kuangalia salio niliwapigia simu 3.30 usiku wakasema ndani ya masaa 24 huduma itakuwa imerudi, Leo tarehe 7/06saa 3.04usiku bado.
Biashara yangu inategemea 100%online payment na mimi nafanya kazi kwa online business kwa kutumia tigopesa.
Pamoja kuwa wamepata tatizo la kiufundi au wamezima system kufanya marekebisho bado hawajatoa taarifa kwa umma taarifa inakuja baadae.
Mamlaka za serikali TCRA wapo kimya upuuuzi huu.
Wizara ya habari wapo kimya upuuuzi Mwananchi anaumia.
Kesho natalajia kufungua kesi dhidi ya Tigo Tanzania kwa kukiuka haki za mlaji/mteja wake.
Tokea jana tarehe 6/04/2021 saa 11.15 jioni miamala ya tigo ilikuwa haitoki wala huwezi kuangalia salio niliwapigia simu 3.30 usiku wakasema ndani ya masaa 24 huduma itakuwa imerudi, Leo tarehe 7/06saa 3.04usiku bado.
Biashara yangu inategemea 100%online payment na mimi nafanya kazi kwa online business kwa kutumia tigopesa.
Pamoja kuwa wamepata tatizo la kiufundi au wamezima system kufanya marekebisho bado hawajatoa taarifa kwa umma taarifa inakuja baadae.
Mamlaka za serikali TCRA wapo kimya upuuuzi huu.
Wizara ya habari wapo kimya upuuuzi Mwananchi anaumia.