Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani siku uliyoenda nalo dar ulikuwa mwanafunzi?Kwani mie mwanafunzi
Kumbe mamalai upo hukuJf chit chat.
Arusha lini? Ila ukija huku usisahau lile sweta lako LA kizalendo maana kuna baridi 😉
#mcutemwenyemaloveyake✌
Poa Cutelove..take it easyMimi sijaja ubungo na sweta
nipo mpendwaKumbe mamalai upo huku
#ChugaNdioHome👊
Haina shida...nakusubiriaSijawahi fika huko nataka nitembee na ni ww ndio utakuwa mwenyeji wangu. Soon nitakujulisha.
Usilisahau sweta lako lile la Tanzania
Ulivyotoka nalo Mwanza kuja ubungo ulikuwa ni Mwanafunzi??
Jf chit chat.
Arusha lini? Ila ukija huku usisahau lile sweta lako LA kizalendo maana kuna baridi 😉
#mcutemwenyemaloveyake✌
MAGHALLAR R anajua hii taarifa
Kwani kuna mizizi unafata huko?Wale wa nyanda za juu kusini,kesho nakuja kuwatembelea,Mbeya,Tukuyu,Mbalizi,Iringa na kwingineko,nitakuwa kwenye utalii wa ndani wa siku 4 kuanzia kesho,itakuwa mara yangu ya kwanza kufika huko,na Njombe lazima nifike
[emoji23][emoji23][emoji23]Usilisahau sweta lako lile la Tanzania