Kesho Ngongo kumlipua Dkt. Bashiru

Kesho Ngongo kumlipua Dkt. Bashiru

Mama anaupiga mwingi sana; huyu Mrudi asituharibie nchi yetu arudi kwao Burundi maana wao wamezoea vita sisi hapa hatujazoea vita. Mpuuzi mkubwa, amuache mama apige kazi. Mfyuuuu zake.
 
Wakuu heshima mbele,

Kesho Dr Ngongo ataongoza mashambulizi ya nguvu kama yale makombora Himar na kumsambaratisha Dr Bashiru.

Dr Bashiru ni mjinga sana haoni Mama anavyoupiga mwingi huduma za maji zipo vizuri.Maji yapo wala wala hadi mikambare inazaliana hovyo hovyo huku mitaani kwetu.

Dr Bashiru ni mpuuzi umeme upo kila mahali tena tuna megawatts za ziada hatujui pa kuzipeleka labda Zambia au Burundi wakihitaji tutawapatia bure.

Dr Bashiru ni Mrundi asitubabaishe uchumi wetu unakua hadi tumeingia uchumi wa kati juu.Kama hamtaki waulize WB & IMF watawajuza.

Dr Bashiru ni Team Sukuma Gang tumetatua kero zote za Muungano ina maana yeye haoni.Siku hizi ajira zimetengwa kwaajili ya Zanzibar waTanganyika wameridhika au ulitaka tutenge ajira za waRundi wenzako tupishe tutakusagasaga tunaupiga mwingi.

Dr Bashiru ni CUF atuachie chama chetu pendwa.

Dr Ngongo mlamba asali mwandamizi.
Doctor, kwa nini usiungane na tumbiri mkawa team kali saaana? Napendekeza iitwe "born town starts" " harafu msubirie" "bush stars" kama watatokea na ngonjera zingine.
 
Mashambulizi hayo wangeyafanya kwenye mahitaji ya nchi kwa kushauri namna ya kupunguza gharama za mfumuko wa bei , huduma za afya zenye kukidhi mahitaji, maji Safi na salama , nishati ya umeme ya uhakika , elimu yenye manufaa , kilimo cha kisasa, uvuvi wa kisasa n.k aisee tungekuwa mbali kuliko porojo za kutegemea teuzi na mbeleko. Kuna wakati unaona step ya kuzaliwa TZ haiko Sawa sema no way out.
 
Zama zake bashiru zimekwisha. Inakuaje mwanaume mzima kuteuliwa ubunge wake. Kama anaweza akagombe ccm imuonyeshe kitu. Pia anajua serikali ijayo ayumo.
 
Relax mkuu mara Dr.Bashiru ni mrundi (ndio zenu kuwapa watu kesi za uraia wanapoongea tofauti),mara ni sukuma Gang!sasa nashindwa kukuelewa mkuu, jibu hoja za Dr.Bashiru kwa hoja zilizo bora zaidi, acha vitisho na uzuzu
Dr Bashiru keshajibiwa,wewe huoni uchumi unavyokua kwa kasi 5G.

Ajira bwerere ni wewe tu na vyeti vyako.

Shilingi ya Tanzania kila siku thamani yake inazidi kupaa dhidi ya usd.

Ebu tukome tena utuache tunaupiga mwingi.
 
Wakuu heshima mbele,

Kesho Dr Ngongo ataongoza mashambulizi ya nguvu kama yale makombora Himar na kumsambaratisha Dr Bashiru.

Dr Bashiru ni mjinga sana haoni Mama anavyoupiga mwingi huduma za maji zipo vizuri. Maji yapo wala wala hadi mikambare inazaliana hovyo hovyo huku mitaani kwetu.

Umeme upo kila mahali tena tuna megawatts za ziada hatujui pa kuzipeleka labda Zambia au Burundi wakihitaji tutawapatia bure.

Dr Bashiru ni Mrundi asitubabaishe uchumi wetu unakua hadi tumeingia uchumi wa kati juu.Kama hamtaki waulize WB & IMF watawajuza.

Dr Bashiru ni Team Sukuma Gang tumetatua kero zote za Muungano ina maana yeye haoni. Siku hizi ajira zimetengwa kwaajili ya Zanzibar wa Tanganyika wameridhika au ulitaka tutenge ajira za waRundi wenzako tupishe tutakusagasaga tunaupiga mwingi.

Dr Bashiru ni CUF atuachie chama chetu pendwa.

Dr Ngongo mlamba asali mwandamizi.
Ng'ombe kama hii eti ndio think tank ya ccm.[emoji706]..mbona ccm inajiaibisha hivi.
 
Bashiru alikuwa mshiriki wa serikali iliyowapa watu kesi za kubumba za kisiasa na watu kuhojiwa baada ya kuuhoja maswali magumu serikali.

Na bado atakomba mbona.Laana ya malipo ni hapa hapa.

same tu Ndugai
Relax mkuu mara Dr.Bashiru ni mrundi (ndio zenu kuwapa watu kesi za uraia wanapoongea tofauti),mara ni sukuma Gang!sasa nashindwa kukuelewa mkuu, jibu hoja za Dr.Bashiru kwa hoja zilizo bora zaidi, acha vitisho na uzuzu
 
Wewe ndio huna ulichofanya. Wenzako wako bize na kazi umekalia rehema za ccm
Some time hili sakata ni kama mikakati ya CCM kujaribu kupoteza maboya watu.
Sahivi kilio ni nchi nzima, sio maji, sio umeme, sio gharama za mahitaji muhimu kupanda zaidi ya maradufu, sio mbali sana kuelekea mwisho wa mwaka na ukimuuliza mtu yoyote alieko nje ya circle ya kibuyu cha asali kwamba amefanya nini cha maana mwaka huu hata kuwa na jibu.

Bado sio mbali January hii hapa ada na mahitaji ya watoto shuleni!
 
Bashiru alikuwa mshiriki wa serikali iliyowapa watu kesi za kubumba za kisiasa na watu kuhojiwa baada ya kuuhoja maswali magumu serikali.

Na bado atakomba mbona.Laana ya malipo ni hapa hapa.

same tu Ndugai
Hata samia alikua mshiriki wa serikali hiyo tena kwa nafasi ya juu kuliko Bashiru, na yeye ana laana na atakoma?
 
Wakuu heshima mbele,

Kesho Dr Ngongo ataongoza mashambulizi ya nguvu kama yale makombora Himar na kumsambaratisha Dr Bashiru.

Dr Bashiru ni mjinga sana haoni Mama anavyoupiga mwingi huduma za maji zipo vizuri. Maji yapo wala wala hadi mikambare inazaliana hovyo hovyo huku mitaani kwetu.

Umeme upo kila mahali tena tuna megawatts za ziada hatujui pa kuzipeleka labda Zambia au Burundi wakihitaji tutawapatia bure.

Dr Bashiru ni Mrundi asitubabaishe uchumi wetu unakua hadi tumeingia uchumi wa kati juu.Kama hamtaki waulize WB & IMF watawajuza.

Dr Bashiru ni Team Sukuma Gang tumetatua kero zote za Muungano ina maana yeye haoni. Siku hizi ajira zimetengwa kwaajili ya Zanzibar wa Tanganyika wameridhika au ulitaka tutenge ajira za waRundi wenzako tupishe tutakusagasaga tunaupiga mwingi.

Dr Bashiru ni CUF atuachie chama chetu pendwa.

Dr Ngongo mlamba asali mwandamizi.
Chama kilichojimilikisha dola kinapogeuka kuwa cha wanaharakati wa kushindana kusifu na kuabudu, badala ya kuzidi kujijenga kama taasisi imara. Mtu mzima anajitoa akili na kuanza kusifu huduma bora za umeme na maji ambazo kiuhalisia wala hazipo.

Eti nchi ipo uchumi wa kati!? Yaani mtu anasifu mpaka anaonekana kama juha. Kuwa na kundi hili la machawa hakuwezi kumsaidia Rais kitu chochote kile zaidi ya kuzidi kumchora pale akiboronga.

Constructive criticisms ni nzuri sana katika kufanya madaliko chanya, hasa zitolewapo na mtu makini na mzoefu kariba ya Dkt. Bushiri. Lazima wana CCM wajikite kwenye hoja zake ilizozitoa badala kuonyesha kejeli, matusi na utovu wa nidhamu kwa aliyekuwa KM Taifa wa chama chao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Relax mkuu mara Dr.Bashiru ni mrundi (ndio zenu kuwapa watu kesi za uraia wanapoongea tofauti),mara ni sukuma Gang!sasa nashindwa kukuelewa mkuu, jibu hoja za Dr.Bashiru kwa hoja zilizo bora zaidi, acha vitisho na uzuzu
Mkuu awamu hii ulimwazima nani vitendea kazi kichwani?
Unavyoona ni kweli anamsagia Bashiru au anamuunga mkono?
 
Back
Top Bottom