Kesho ni derby ya Kariakoo, lakini TFF haijawatendea haki waislam

Kesho ni derby ya Kariakoo, lakini TFF haijawatendea haki waislam

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Ni logic ndogo tu na ya kawaida, Simba wamechezeshwa mechi SAA 4 usiku kwa SAA Morocco siyo kwamba wamefanyiwa figisu ila ni kuheshimu tu mfungo wa Ramadhani.

Je TFF hawajaliona hili? wachezaji na mashabiki waliofunga wanafuturu SAA ngapi?

Mimi siyo mwislamu lakini najuwa adhana ikipigwa muislamu aliyefunga lazima afungulie hata kwa maji, je vipi wachezaji ambao wamefunga?

Huu ni ujinga haupaswi kufumbiwa macho.
 
Ni logic ndogo tu na ya kawaida, Simba wamechezeshwa mechi SAA 4 usiku kwa SAA Morocco siyo kwamba wamefanyiwa figisu ila ni kuheshimu tu mfungo wa Ramadhani.

Je TFF hawajaliona hili? wachezaji na mashabiki waliofunga wanafuturu SAA ngapi?

Mimi siyo mwislamu lakini najuwa adhana ikipigwa muislamu aliyefunga lazima afungulie hata kwa maji, je vipi wachezaji ambao wamefunga?

Huu ni ujinga haupaswi kufumbiwa macho.
Mkuu wana biashara za kuuza futari we unataka wasiuze
 
Duniani kote ligi zinaendelea bila kujali huo mfungo wako. Acha Kila kitu kiende kadili ya ratiba.

Wakati wa kwalezima mbungi ilipigwa mwanzo mwisho uliona wanalalamika? Wakiingiza udini mbona hatufiki mbali, ijumaa waislam watasema tunaswali, jumamosi wasabato nao watasema wanapumzika na jumapili watasema ni dhambi nk. Tuache mpira ujiendeshe
 
Ni logic ndogo tu na ya kawaida, Simba wamechezeshwa mechi SAA 4 usiku kwa SAA Morocco siyo kwamba wamefanyiwa figisu ila ni kuheshimu tu mfungo wa Ramadhani.

Je TFF hawajaliona hili? wachezaji na mashabiki waliofunga wanafuturu SAA ngapi?

Mimi siyo mwislamu lakini najuwa adhana ikipigwa muislamu aliyefunga lazima afungulie hata kwa maji, je vipi wachezaji ambao wamefunga?

Huu ni ujinga haupaswi kufumbiwa macho.
Unajiitaje DR Mwenye PHD wakati kichwani Hamna kitu. Nani alikuwaambia hapa bongo ni Saudi arabia.

Kama umekereka hamia Zanzibar Kwa wazembewazembe huko Hadi ligi imesimama
 
Ni logic ndogo tu na ya kawaida, Simba wamechezeshwa mechi SAA 4 usiku kwa SAA Morocco siyo kwamba wamefanyiwa figisu ila ni kuheshimu tu mfungo wa Ramadhani.

Je TFF hawajaliona hili? wachezaji na mashabiki waliofunga wanafuturu SAA ngapi?

Mimi siyo mwislamu lakini najuwa adhana ikipigwa muislamu aliyefunga lazima afungulie hata kwa maji, je vipi wachezaji ambao wamefunga?

Huu ni ujinga haupaswi kufumbiwa macho.
Tatizo ni Simba na Yanga au sio. Hizi timu tunapenda sana kuziabudu, mbona timu nyingi tu zinacheza mapema na hakuna malalamiko.
 
Morocco nchi ya warabu ambao ni waislam tz hatuna hiyo kitu. Samahan sana bro
 
Ni logic ndogo tu na ya kawaida, Simba wamechezeshwa mechi SAA 4 usiku kwa SAA Morocco siyo kwamba wamefanyiwa figisu ila ni kuheshimu tu mfungo wa Ramadhani.

Je TFF hawajaliona hili? wachezaji na mashabiki waliofunga wanafuturu SAA ngapi?

Mimi siyo mwislamu lakini najuwa adhana ikipigwa muislamu aliyefunga lazima afungulie hata kwa maji, je vipi wachezaji ambao wamefunga?

Huu ni ujinga haupaswi kufumbiwa macho.
Mimi nilikuwa najiuliza. Hivi na wachezaji huwa wanafunga kiukweli ukweli au huwa ni geresha tu?

Unajua kufanya mazoezi ya mpira kama haujala unaweza kutetemeka!

Sasa najiuliza eti mchezaji afunge halafu acheze mechi ya mpira saa moja. Nahisi hao wachezaji huwa hawafungi
 
Back
Top Bottom