Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Wapigaji helaAkina karia,mario ndimbo,tarimba na kiongozi wao mwamedi wameshajenga vibanda vya kuuzia futari...
Hii bongo nyoso sana
Mkuu wana biashara za kuuza futari we unataka wasiuzeNi logic ndogo tu na ya kawaida, Simba wamechezeshwa mechi SAA 4 usiku kwa SAA Morocco siyo kwamba wamefanyiwa figisu ila ni kuheshimu tu mfungo wa Ramadhani.
Je TFF hawajaliona hili? wachezaji na mashabiki waliofunga wanafuturu SAA ngapi?
Mimi siyo mwislamu lakini najuwa adhana ikipigwa muislamu aliyefunga lazima afungulie hata kwa maji, je vipi wachezaji ambao wamefunga?
Huu ni ujinga haupaswi kufumbiwa macho.
Bongo jau sanaWapigaji hela
Ndo hivyoo wao wanawaza kuchumia tumbo na wala hawafikirii kuhusu wengineBongo jau sana
Mirembe wanafanya nini kutupunguzia hawa vichaa mitaani?Duniani kote ligi zinaendelea bila kujali huo mfungo wako. Acha Kila kitu kiende kadili ya ratiba
Unajiitaje DR Mwenye PHD wakati kichwani Hamna kitu. Nani alikuwaambia hapa bongo ni Saudi arabia.Ni logic ndogo tu na ya kawaida, Simba wamechezeshwa mechi SAA 4 usiku kwa SAA Morocco siyo kwamba wamefanyiwa figisu ila ni kuheshimu tu mfungo wa Ramadhani.
Je TFF hawajaliona hili? wachezaji na mashabiki waliofunga wanafuturu SAA ngapi?
Mimi siyo mwislamu lakini najuwa adhana ikipigwa muislamu aliyefunga lazima afungulie hata kwa maji, je vipi wachezaji ambao wamefunga?
Huu ni ujinga haupaswi kufumbiwa macho.
Tatizo ni Simba na Yanga au sio. Hizi timu tunapenda sana kuziabudu, mbona timu nyingi tu zinacheza mapema na hakuna malalamiko.Ni logic ndogo tu na ya kawaida, Simba wamechezeshwa mechi SAA 4 usiku kwa SAA Morocco siyo kwamba wamefanyiwa figisu ila ni kuheshimu tu mfungo wa Ramadhani.
Je TFF hawajaliona hili? wachezaji na mashabiki waliofunga wanafuturu SAA ngapi?
Mimi siyo mwislamu lakini najuwa adhana ikipigwa muislamu aliyefunga lazima afungulie hata kwa maji, je vipi wachezaji ambao wamefunga?
Huu ni ujinga haupaswi kufumbiwa macho.
Wasabato siyo Wakristo.TFF haina dini. Kuna wachezaji au benchi la ufundi ni wasabato mbona ligi huwa inachezwa jumamosi na Wewe unaona kawaida tu.
[emoji23][emoji23][emoji23] ulitaka kupita na mbavu ya SheikhAfu nyie Waislamu mambo ya kufunga barabara kisa sherehe zenu za kipuuzi muache, jana bado kdg nimvunje mbavu shekhe mmoja hv.
Mimi nilikuwa najiuliza. Hivi na wachezaji huwa wanafunga kiukweli ukweli au huwa ni geresha tu?Ni logic ndogo tu na ya kawaida, Simba wamechezeshwa mechi SAA 4 usiku kwa SAA Morocco siyo kwamba wamefanyiwa figisu ila ni kuheshimu tu mfungo wa Ramadhani.
Je TFF hawajaliona hili? wachezaji na mashabiki waliofunga wanafuturu SAA ngapi?
Mimi siyo mwislamu lakini najuwa adhana ikipigwa muislamu aliyefunga lazima afungulie hata kwa maji, je vipi wachezaji ambao wamefunga?
Huu ni ujinga haupaswi kufumbiwa macho.
Sisi ni nani? Umekuwa msemaji wetu?Wasabato siyo Wakristo.