Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,421
We na kitambi chako cha balimi+nguruwe ndio ungemuweza huyo shekhe?hebu jaribu siku moja uone kama hunyajea mdomoniAfu nyie Waislamu mambo ya kufunga barabara kisa sherehe zenu za kipuuzi muache, jana bado kdg nimvunje mbavu shekhe mmoja hv.
Kwa jinsi navowajua Waislamu, hawachelewi kujilipua au kukuchinja hvy nikawa nae makiniWe na kitambi chako cha balimi+nguruwe ndio ungemuweza huyo shekhe?hebu jaribu siku moja uone kama hunyajea mdomoni
Simba na yanga 50% na na sio Simba na yanga timu a ligi kuu pia ni waislamuMorroco zaidi ya 90% ni Islamic, unaifananisha vipi na Tanzania? Na kwanini unataka uoneshe dini ya Kiislamu ni ya kulalamika tu kila sehemu?
Ni logic ndogo tu na ya kawaida, Simba wamechezeshwa mechi SAA 4 usiku kwa SAA Morocco siyo kwamba wamefanyiwa figisu ila ni kuheshimu tu mfungo wa Ramadhani.
Je TFF hawajaliona hili? wachezaji na mashabiki waliofunga wanafuturu SAA ngapi?
Mimi siyo mwislamu lakini najuwa adhana ikipigwa muislamu aliyefunga lazima afungulie hata kwa maji, je vipi wachezaji ambao wamefunga?
Huu ni ujinga haupaswi kufumbiwa macho.
Kama ni hivyo basi na sisi Wakristo tungeandamana kupinga michezo ya ligi kuu kuchezwa siku za sikukuu za Wakristo. Mfano kwenye sikukuu ya Pasaka iliyopita, mechi zilichezwa na hakuna aliyelalamika.Ni logic ndogo tu na ya kawaida, Simba wamechezeshwa mechi SAA 4 usiku kwa SAA Morocco siyo kwamba wamefanyiwa figisu ila ni kuheshimu tu mfungo wa Ramadhani.
Je TFF hawajaliona hili? wachezaji na mashabiki waliofunga wanafuturu SAA ngapi?
Mimi siyo mwislamu lakini najuwa adhana ikipigwa muislamu aliyefunga lazima afungulie hata kwa maji, je vipi wachezaji ambao wamefunga?
Huu ni ujinga haupaswi kufumbiwa macho.
Si chagua upande?Ni logic ndogo tu na ya kawaida, Simba wamechezeshwa mechi SAA 4 usiku kwa SAA Morocco siyo kwamba wamefanyiwa figisu ila ni kuheshimu tu mfungo wa Ramadhani.
Je TFF hawajaliona hili? wachezaji na mashabiki waliofunga wanafuturu SAA ngapi?
Mimi siyo mwislamu lakini najuwa adhana ikipigwa muislamu aliyefunga lazima afungulie hata kwa maji, je vipi wachezaji ambao wamefunga?
Huu ni ujinga haupaswi kufumbiwa macho.
Ni mwendo wa kutengeneza fursa tu.Akina karia,mario ndimbo,tarimba na kiongozi wao mwamedi wameshajenga vibanda vya kuuzia futari...
Hii bongo nyoso sana
Alokwambia hawali nan hao wanaamka ucku nakula vyakutosha nimuda tu wakula ndio unabadilikaMimi nilikuwa najiuliza. Hivi na wachezaji huwa wanafunga kiukweli ukweli au huwa ni geresha tu?
Unajua kufanya mazoezi ya mpira kama haujala unaweza kutetemeka!
Sasa najiuliza eti mchezaji afunge halafu acheze mechi ya mpira saa moja. Nahisi hao wachezaji huwa hawafungi
Unajiitaje DR Mwenye PHD wakati kichwani Hamna kitu. Nani alikuwaambia hapa bongo ni Saudi arabia.
Kama umekereka hamia Zanzibar Kwa wazembewazembe huko Hadi ligi imesimama
Tate Mkuu ni bahati mbaya ni shabiki wa timu ile ungekuwa unashabikia timu hii ungekuwa genius zaidi ya hapa.Kama ni hivyo basi na sisi Wakristo tungeandamana kupinga michezo ya ligi kuu kuchezwa siku za sikukuu za Wakristo. Mfano kwenye sikukuu ya Pasaka iliyopita, mechi zilichezwa na hakuna aliyelalamika.
Na hata kwenye sikukuu ya Christmas, zitachezwa mechi za ligi kuu! Na bado Wakristo tutachukulia kama ni jambo tu la kawaida. So kwa nini kwa Waislamu iwe ni tatizo?
Mpira na dini wapi na wapi? Hivi ndo mara ya kwanza kuliona hili?Ni logic ndogo tu na ya kawaida, Simba wamechezeshwa mechi SAA 4 usiku kwa SAA Morocco siyo kwamba wamefanyiwa figisu ila ni kuheshimu tu mfungo wa Ramadhani.
Je TFF hawajaliona hili? wachezaji na mashabiki waliofunga wanafuturu SAA ngapi?
Mimi siyo mwislamu lakini najuwa adhana ikipigwa muislamu aliyefunga lazima afungulie hata kwa maji, je vipi wachezaji ambao wamefunga?
Huu ni ujinga haupaswi kufumbiwa macho.
Unataka iwekwe saa moja Yanga wakache kwa kisingozio cha muda Kama siku ile??Ni logic ndogo tu na ya kawaida, Simba wamechezeshwa mechi SAA 4 usiku kwa SAA Morocco siyo kwamba wamefanyiwa figisu ila ni kuheshimu tu mfungo wa Ramadhani.
Je TFF hawajaliona hili? wachezaji na mashabiki waliofunga wanafuturu SAA ngapi?
Mimi siyo mwislamu lakini najuwa adhana ikipigwa muislamu aliyefunga lazima afungulie hata kwa maji, je vipi wachezaji ambao wamefunga?
Huu ni ujinga haupaswi kufumbiwa macho.