Cetshwayo Kampande
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 1,295
- 2,973
Hadi jumapili. Pasaka na krismasi watu wanakipiga tuTFF haina dini. Kuna wachezaji au benchi la ufundi ni wasabato mbona ligi huwa inachezwa jumamosi na Wewe unaona kawaida tu.
Mpira sio jambo la dini wala jambo la muhimu kwenye uislamu hata baadhi ya masheikh wanaupiga vita ,hivyo hayo ni maoni yake binafsi huwezi kukuta Sheikh wala mtu wa dini akilalamikia swala hilo.Hii dini kwa kulalamika
Morroco ni Islamic countyNi logic ndogo tu na ya kawaida, Simba wamechezeshwa mechi SAA 4 usiku kwa SAA Morocco siyo kwamba wamefanyiwa figisu ila ni kuheshimu tu mfungo wa Ramadhani.
Je TFF hawajaliona hili? wachezaji na mashabiki waliofunga wanafuturu SAA ngapi?
Mimi siyo mwislamu lakini najuwa adhana ikipigwa muislamu aliyefunga lazima afungulie hata kwa maji, je vipi wachezaji ambao wamefunga?
Huu ni ujinga haupaswi kufumbiwa macho.
Tatizo ni elimu mkuuKama ni hivyo basi na sisi Wakristo tungeandamana kupinga michezo ya ligi kuu kuchezwa siku za sikukuu za Wakristo. Mfano kwenye sikukuu ya Pasaka iliyopita, mechi zilichezwa na hakuna aliyelalamika.
Na hata kwenye sikukuu ya Christmas, zitachezwa mechi za ligi kuu! Na bado Wakristo tutachukulia kama ni jambo tu la kawaida. So kwa nini kwa Waislamu iwe ni tatizo?
Ni logic ndogo tu na ya kawaida, Simba wamechezeshwa mechi SAA 4 usiku kwa SAA Morocco siyo kwamba wamefanyiwa figisu ila ni kuheshimu tu mfungo wa Ramadhani.
Je TFF hawajaliona hili? wachezaji na mashabiki waliofunga wanafuturu SAA ngapi?
Mimi siyo mwislamu lakini najuwa adhana ikipigwa muislamu aliyefunga lazima afungulie hata kwa maji, je vipi wachezaji ambao wamefunga?
Huu ni ujinga haupaswi kufumbiwa macho.