Kesho ni mkutano mkuu wa Simba ajenda kuu ni Katiba

Kesho ni mkutano mkuu wa Simba ajenda kuu ni Katiba

Mkutano unaendeleaje huko ?
IMG-20240121-WA0065.jpg
Mwenyekiti wa kamati ya katiba Dr.Hussein Kitta anachambua mambo 6
IMG-20240121-WA0065.jpg
 
Mkutano unaendeleaje huko ?
Niko KUSAKUA Mkutano Mkuu Wa Mwaka Wa Klabu Ya Simba Leo _Annual General Meeting 2023

MAPATO NA MATUMIZI NDANI YA SIMBA 2022/23

Imeingiza Tsh billioni 15.942
Imetumika Tsh billioni 15.936
Faida ni Tsh. Milioni. 5.619

BAJETI YA 2023/24 ni Tsh billioni 25.93
Imepanga kutumia Tsh billioni 25.43
Itapata faida ya Tsh Milioni. 506

Sasa ivi tunapumzika kula chakula cha mchana
 
KWA KIFUPI YALIYOJIRI KWENYE KIKAO CHA VIONGOZI WA MATAWI MAKAO MAKUU YA CLUB NI KAMA IFUATAVYO.

1. Tupunguze utitiri wa matawi ili kuunganisha nguvu ya kupata matawi mengi.

2. Kila mwanachama alipie kadi kwa mujibu wa katiba ya klabu. Wanachama wote ambao hawajalipa ada ya mwaka 2022/23 kadi zao zimekufa.

3. Tawi ambalo halina wanachama hai ni tawi mfu sambamba na wanachama wasiolipa ada kwa mujibu wa katiba.

4. Inaanzishwa kadi ya Tsh. 1'000'000/- kwa mwaka

5. Kadi za benki zitaanza kutoka ndani ya siku 3 kwa Dar es Salaam na siku 5 kwa wanachama wa mikoani

6. Matawi yote makubwa yatatumika kama mawakala wa benki ya CRDB

7. Kadi zote za benki zina bima ya maisha

8. Rais wa klabu ya Yanga Mhandisi Hersi Said yupo nchini China kushughulikia mchakato wa ujenzi wa uwanja

9. Wiki ijayo timu itacheza mechi mbili za Kimataifa

10. Idara ya Masoko, matawi, wanachama na mashabiki inazunguka mikoa yote kuhamasisha ulipaji wa ada na usajili wa wanachama na mashabiki.
Namba 8 ..mbn kuna makampuni ya kichina Tanzania ya ujenzi au atafuta ya unafuu?
 
Back
Top Bottom