Kesho ni siku ya CHADEMA kuaibika vibaya, watu wa Dar es salaam kususia maandamo, hakutakuwa na nyomi

Kesho ni siku ya CHADEMA kuaibika vibaya, watu wa Dar es salaam kususia maandamo, hakutakuwa na nyomi

Wakuu

Mitaa inaongea, Kwa tathimini yangu ndogo nimejirizisha pasipokuwa na Shaka kwamba kesho ni siku ya CHADEMA kuaibika Kwa kili kinachoenda kutokea

Watanzania waliochaguliwa kuandamana ndiyo hao wanaume wa Dar, yoga umewajaa na hakuna mtu ndani ya wiki hili atajitoa Kwa maslahi ya viongozi wa chama

Pia issue ya umbali kuwa mrefu, ni mwanamke yupo WA Dar atapiga unyayo tokea mbezi mpaka UN? Hawahawa wala chipsi na miguu ya kuku au kunawengine mmewakodi kutoka mikoani?

Lakini pia naliona jeshi likifanya yake siku hiyo itakuwa ni kipigo mpaka uchakae hakuna cha usafi wala kubeba taka

Ewe mwananchi kama Mimi, nakusihi kesho amka mapema, wahi kazini kwako tulia
Kama wewe ni jobless usitoke ndani maana ulitoka utakuwa takataka


Maana chadema wanapigania Maslahi yao? Pumbavu kabisa, hizi ndo akili za wasomi wenye degree moja wanaolalamika hakuna ajira? Ndo maana huwa sisaidiagi mang'ombe graduate yenye shida, shida ikiwapata vizuri mtajua kujitetea.
 
Wakuu

Mitaa inaongea, Kwa tathimini yangu ndogo nimejirizisha pasipokuwa na Shaka kwamba kesho ni siku ya CHADEMA kuaibika Kwa kili kinachoenda kutokea

Watanzania waliochaguliwa kuandamana ndiyo hao wanaume wa Dar, yoga umewajaa na hakuna mtu ndani ya wiki hili atajitoa Kwa maslahi ya viongozi wa chama

Pia issue ya umbali kuwa mrefu, ni mwanamke yupo WA Dar atapiga unyayo tokea mbezi mpaka UN? Hawahawa wala chipsi na miguu ya kuku au kunawengine mmewakodi kutoka mikoani?

Lakini pia naliona jeshi likifanya yake siku hiyo itakuwa ni kipigo mpaka uchakae hakuna cha usafi wala kubeba taka

Ewe mwananchi kama Mimi, nakusihi kesho amka mapema, wahi kazini kwako tulia
Kama wewe ni jobless usitoke ndani maana ulitoka utakuwa takataka
Mara hakuna watu mara naliona jeshi , kipi ni kipi Sasa!? Utakuwa unaugua uchizi wewe.
 
Wakuu

Mitaa inaongea, Kwa tathimini yangu ndogo nimejirizisha pasipokuwa na Shaka kwamba kesho ni siku ya CHADEMA kuaibika Kwa kili kinachoenda kutokea

Watanzania waliochaguliwa kuandamana ndiyo hao wanaume wa Dar, yoga umewajaa na hakuna mtu ndani ya wiki hili atajitoa Kwa maslahi ya viongozi wa chama

Pia issue ya umbali kuwa mrefu, ni mwanamke yupo WA Dar atapiga unyayo tokea mbezi mpaka UN? Hawahawa wala chipsi na miguu ya kuku au kunawengine mmewakodi kutoka mikoani?

Lakini pia naliona jeshi likifanya yake siku hiyo itakuwa ni kipigo mpaka uchakae hakuna cha usafi wala kubeba taka

Ewe mwananchi kama Mimi, nakusihi kesho amka mapema, wahi kazini kwako tulia
Kama wewe ni jobless usitoke ndani maana ulitoka utakuwa takataka
Sawa wahi mapema umsaidie dada yako kufua nguo za shemeji yako!
 
Mama amebana kila kitu, wameishiwa hoja za kisiasa. Wanatafuta mlango wa kutokea.
Maandamano siyo hoja ya kisiasa? Ulisoma shule gani na level gani wewe.
Mgao wa umeme
Ghalama za maisha
Ukosefu wa ajira
Hizo siyo hoja za kisiasa.
 
.
Wakuu

Mitaa inaongea, Kwa tathimini yangu ndogo nimejirizisha pasipokuwa na Shaka kwamba kesho ni siku ya CHADEMA kuaibika Kwa kili kinachoenda kutokea

Watanzania waliochaguliwa kuandamana ndiyo hao wanaume wa Dar, yoga umewajaa na hakuna mtu ndani ya wiki hili atajitoa Kwa maslahi ya viongozi wa chama

Pia issue ya umbali kuwa mrefu, ni mwanamke yupo WA Dar atapiga unyayo tokea mbezi mpaka UN? Hawahawa wala chipsi na miguu ya kuku au kunawengine mmewakodi kutoka mikoani?

Lakini pia naliona jeshi likifanya yake siku hiyo itakuwa ni kipigo mpaka uchakae hakuna cha usafi wala kubeba taka

Ewe mwananchi kama Mimi, nakusihi kesho amka mapema, wahi kazini kwako tulia
Kama wewe ni jobless usitoke ndani maana ulitoka utakuwa takataka

..siku zote mwanzo huwa ni mgumu.

..wasipopata watu wa kutosha watajifunza kutokana na makosa yao, na maandamano yatakayofuatia yatakuwa na matokeo mazuri zaidi.
 
Mfano kesho wafanyakazi wanafanyaje..wanaaga kazini kwenda maandamano au wanafanyaje.
 
Wakuu

Mitaa inaongea, Kwa tathimini yangu ndogo nimejirizisha pasipokuwa na Shaka kwamba kesho ni siku ya CHADEMA kuaibika Kwa kili kinachoenda kutokea

Watanzania waliochaguliwa kuandamana ndiyo hao wanaume wa Dar, yoga umewajaa na hakuna mtu ndani ya wiki hili atajitoa Kwa maslahi ya viongozi wa chama

Pia issue ya umbali kuwa mrefu, ni mwanamke yupo WA Dar atapiga unyayo tokea mbezi mpaka UN? Hawahawa wala chipsi na miguu ya kuku au kunawengine mmewakodi kutoka mikoani?

Lakini pia naliona jeshi likifanya yake siku hiyo itakuwa ni kipigo mpaka uchakae hakuna cha usafi wala kubeba taka

Ewe mwananchi kama Mimi, nakusihi kesho amka mapema, wahi kazini kwako tulia
Kama wewe ni jobless usitoke ndani maana ulitoka utakuwa takataka
Haya ndio mataamanio ya Kila jizi la kura la ccm.
 
Wakuu

Mitaa inaongea, Kwa tathimini yangu ndogo nimejirizisha pasipokuwa na Shaka kwamba kesho ni siku ya CHADEMA kuaibika Kwa kili kinachoenda kutokea

Watanzania waliochaguliwa kuandamana ndiyo hao wanaume wa Dar, yoga umewajaa na hakuna mtu ndani ya wiki hili atajitoa Kwa maslahi ya viongozi wa chama

Pia issue ya umbali kuwa mrefu, ni mwanamke yupo WA Dar atapiga unyayo tokea mbezi mpaka UN? Hawahawa wala chipsi na miguu ya kuku au kunawengine mmewakodi kutoka mikoani?

Lakini pia naliona jeshi likifanya yake siku hiyo itakuwa ni kipigo mpaka uchakae hakuna cha usafi wala kubeba taka

Ewe mwananchi kama Mimi, nakusihi kesho amka mapema, wahi kazini kwako tulia
Kama wewe ni jobless usitoke ndani maana ulitoka utakuwa takataka
Wanachopigania chadema siyo chao peke yako wewe mwenyewe uliona uchaguzi wa 2020 ulivyo kwenda unadhani ccm wanaharubu uchaguzi bure la hasha ni kwasababu wananufaika
 
Wanachopigania chadema siyo chao peke yako wewe mwenyewe uliona uchaguzi wa 2020 ulivyo kwenda unadhani ccm wanaharubu uchaguzi bure la hasha ni kwasababu wananufaika
Wanapigania nafasi za ubunge wao

We utapata nini
 
Wanapigania nafasi za ubunge wao

We utapata nini
Mimi is nataka nipate wabunge wanao wajibika siyo hawa wanauza nchi yetu kwa waarabu wanaigia mikataba mibovu kwa manufaa ya matumbo yao, nchi kama Boswana wanategemea madini tu ila kutokana na uongozi mzuri ajira zipo kibao kiasi madaktari na waalimu wanakimbilia huko kufanya kazi.
 
Wakuu

Mitaa inaongea, Kwa tathimini yangu ndogo nimejirizisha pasipokuwa na Shaka kwamba kesho ni siku ya CHADEMA kuaibika Kwa kili kinachoenda kutokea

Watanzania waliochaguliwa kuandamana ndiyo hao wanaume wa Dar, yoga umewajaa na hakuna mtu ndani ya wiki hili atajitoa Kwa maslahi ya viongozi wa chama

Pia issue ya umbali kuwa mrefu, ni mwanamke yupo WA Dar atapiga unyayo tokea mbezi mpaka UN? Hawahawa wala chipsi na miguu ya kuku au kunawengine mmewakodi kutoka mikoani?

Lakini pia naliona jeshi likifanya yake siku hiyo itakuwa ni kipigo mpaka uchakae hakuna cha usafi wala kubeba taka

Ewe mwananchi kama Mimi, nakusihi kesho amka mapema, wahi kazini kwako tulia
Kama wewe ni jobless usitoke ndani maana ulitoka utakuwa takataka
This did not age well.
 
Back
Top Bottom