Kesho sili nyama kabisa tena kwaanzia sasa hivi. Msimamo wangu hupo pale pale jinsi nilivyofunga sikula chochote siku mbili mfululizo Idii mos na iidii pili.
adriz hydroxo Accumen Mo Jagina incharge ielewemitaa Malaria 2 Adiosamigo
Baada ya kuona kimya ukaanza kuongea mwenyewe 🤣🤣🤣Hata mimi sitakula.
sikuona mbongo aliyenunua mifugo hiyo mingi, naona wao ndio wanatumikishwa kuchinja na kupakia kwenye magari kwenda kugawa mitaani kwa anayetaka nyama za bure. Hao waturuki wako bussy kupiga picha na kurekodi matukio hayo.Kwanini unasema kafara em fafanua nasi tupate mwangaza.
Maghayo utamleta lini? NimemmissHata mimi sitakula.
Hahaha hahaha GT banaBaada ya kuona kimya ukaanza kuongea mwenyewe 🤣🤣🤣
Mkuu ni kitambo sana jamvin. Ulipoteaga wapi? Hope everything is okay.Mtu ale nyama asile. Sioni sababu ya kututangazia. Kwa sababu hata akila hela ya kununulia hatumchangii mtandaoni.
Mimi kwa mdini awe Muislamu ama mkristu huo udini unamsaidia yeye na famulia yake.ni kweli,,ila udini haufai
ndio umtolee povu?Mtu ale nyama asile. Sioni sababu ya kututangazia. Kwa sababu hata akila hela ya kununulia hatumchangii mtandaoni.
Na kuliwa je?Wewe usile mimi nitakula
Well saidMimi kwa mdini awe Muislamu ama mkristu huo udini unamsaidia yeye na famulia yake.
.Sema hata uwe mdini vipi, ukiwa kwenye miji tunachangia sehemu za matibabu, daladala tunspanda wote wala hatuulizi mmiliki wa dini gani, shida wala haichagui wewe ni imani gani, hivyo matokeo ya duni ni kwa Muumini mwenyewe tu.
Nimekupotezea sababu ya maneno yako kama haya!Na kuliwa je?
Yes mtu ale asile, sisi wanafamilia ya jamii inatuhusu nini, kwetu maisha hayatasimama sababu kuna mtu hajala nyama, ukizingatia wengi humu hatujuani kwa kuonana.ndio umtolee povu?
Sawa dear. Nimejirekebisha.Nimekupotezea sababu ya maneno yako kama haya!
Kucheka kwangu hovyo usidhani Mimi ni mtu unayeweza kuniambia upuuzi wowote na nikakuchekea! Mipaka ni muhimu.
Rudi kwenye mstari, jirekebishe..!!
Uumbwaaa. MbusiiNa kuliwa je?