Ndonini hichi mbona broken hivi nukuu ya nini?Nukuu:
"We suppose to focus according our direction according our environment that's only way we can help our peoples no body should come and say that his there to save the problems of our peoples we are the one we are leader we suppose to change the direction"
Jibu swali acha kurukaruka, nimeamua kukubaliana na nyie kuwa kiongozi Bora ni yule anaejua Kiingereza vizuri. Sasa wewe huko uliko, Kuna kitu chochote umeisaidia Tz(kwakua unajua kiingereza)? Achilia mbali uwezekano mdogo wa wewe kuwa Raisi.Au wewe binafsi Kiingereza kimekusaidiaje hapa TZ?
Mkuu, kwa nilivyoona hapa uwanjani kweli kulikuwa kuna haja kuchukua uwanja huu? Mbona Mbagala tungeenea na nafasi kibao kubaki? Maana sasa anajiandaa kuongea Magufuli then shughuli imeisha.leo ndiyo hiyo hapo live uwanja wa taifa
Rais wa vitu akiwa na wananchi wake wanaopenda vitu! Nyie mbaki na maneno yenu matupu huko!
Kuwatetea mashekh sio hoja yamsingi ultaka nilete mambo yangono ?Huna hoja ya msingi.
Umenielewa vibaya mkuu.Kuwatetea mashekh ni hoja ya msingi, Ila haiingiliani na point yangu ulioiquote, ndomaana nimekwambia huna hoja ya msingi.Kuwatetea mashekh sio hoja yamsingi ultaka nilete mambo yangono ?
Haya kk lakini mnaponitajia mtu huyu nakumbuka alivyonifilisi hata kulakwangu kumekuwa kwashida kwakazi yangu halali kaiua kabisa sasa tambua unampromoti huyu lazima utakutana nawatu wenye machungu hapa mm niccm lakini kwahuyu hapana nasikitikia kura yangu niliyompa 2015Umenielewa vibaya mkuu.Kuwatetea mashekh ni hoja ya msingi, Ila haiingiliani na point yangu ulioiquote, ndomaana nimekwambia huna hoja ya msingi.
NB:Hoja huwa ya msingi, kulingana na mada inayojadiliwa.
Aisee!Magufuli yeye anatangaza mafanikio tu hana muda wa taarabu za kina Tundu Lissu. By the way, hivi kwanini walimpa jina TUNDU? Can anyone explain this to me please?
Pole mkuu,ilikuwaje?Haya kk lakini mnaponitajia mtu huyu nakumbuka alivyonifilisi hata kulakwangu kumekuwa kwashida kwakazi yangu halali kaiua kabisa sasa tambua unampromoti huyu lazima utakutana nawatu wenye machungu hapa mm niccm lakini kwahuyu hapana nasikitikia kura yangu niliyompa 2015
Raisi Magufuli ataunguruma kwenye kampeni za uraisi Dar uwanja wa Taifa Temeke kesho Tarehe 9 oktoba 2020.Jiji kesho kusimama.
Kuanzia saa moja asubuhi wananchi wa Dar wametakiwa kufika mapema kwani SAA moja asubuhi shughuli za kampeni zitaanza rasmi uwanjani hapo.
Toka kampeni zianze ni Magufuli pekee ambaye amekuwa akijaza umati mikutano yake mida ya asubuhi tofauti na wengine wa vyama vingine ambao mikutano yao hufanyika jioni giza likiwa linaingia na picha zinazopigwa zikiwa zimejaa Giza wahudhuriaji hawaonekani hata sura.
Bwana kwanza asante. Walikuja tokomeza uvuvi haram ziwa tanganyika watuambia tuwaonyeshe vyavu zetu zakuvulia kiukweli nyavu zetu tulikuwa tunafanya kazi kwa leseni yauvuvi hivyo tuliwaonyesha kwalengo lakuzipima kilichotokea baada yahapo walisema zipo sawa lakini kamahuna pesa tunazichoma ndipo tukafikiri wanatania tulijuwa mizalivigezo viposawa hawezi kuzichoma kwa kutaka pesa ambazo kimsingi sizo zilizo waleta tulijuwa kilicho waleta nikama zana sizo ndio wanachoma nahawaombi pesaPole mkuu,ilikuwaje?
HAITUHUSURaisi Magufuli ataunguruma kwenye kampeni za uraisi Dar uwanja wa Taifa Temeke kesho Tarehe 9 oktoba 2020.Jiji kesho kusimama.
Kuanzia saa moja asubuhi wananchi wa Dar wametakiwa kufika mapema kwani SAA moja asubuhi shughuli za kampeni zitaanza rasmi uwanjani hapo.
Toka kampeni zianze ni Magufuli pekee ambaye amekuwa akijaza umati mikutano yake mida ya asubuhi tofauti na wengine wa vyama vingine ambao mikutano yao hufanyika jioni giza likiwa linaingia na picha zinazopigwa zikiwa zimejaa Giza wahudhuriaji hawaonekani hata sura.
Aiseeeh pole Sana mkuu, nawaza kukusaidia kuhusu hilo, Ila sijakuelewa umesema wewe Ni mvuvi wa wapi?Bwana kwanza asante. Walikuja tokomeza uvuvi haram ziwa tanganyika watuambia tuwaonyeshe vyavu zetu zakuvulia kiukweli nyavu zetu tulikuwa tunafanya kazi kwa leseni yauvuvi hivyo tuliwaonyesha kwalengo lakuzipima kilichotokea baada yahapo walisema zipo sawa lakini kamahuna pesa tunazichoma ndipo tukafikiri wanatania tulijuwa mizalivigezo viposawa hawezi kuzichoma kwa kutaka pesa ambazo kimsingi sizo zilizo waleta tulijuwa kilicho waleta nikama zana sizo ndio wanachoma nahawaombi pesa
Kufumba nakufumbua baada yakuona hatoi pesa wakachoma na kuteka engiene zetu mpaka sasa wanazo kijiji kimoja kinaitwa ikola wanasema tukazinunue tena kwao
Kilicho nifanya niamini nihuko juu wanahusika kwenye unyama huu kuna kipindi mpina alisema wavuvi twende tukachukue malizetu tulijaribu kufatilia majibu yakawa hukuchini hawana barua nawao hawafanyi kaz kwa matamko. Basi ndugu yangu hiyo ndio umaskini wangu uliingilia hapo
Ziwa tanganyika kigoma kusini mkuu wamsafara tulimtambua kwajina lamarwa uvuvi niwamitumbwi 2 maarufu unaitwa kipe tunavua kwenye kina kirefu sana nimbali sana na fukwe kwelikweli ni uvuvi salama kabisa kama unaweza kunisaidi mkuu mm nibaba ninamke watoto 7Aiseeeh pole Sana mkuu, nawaza kukusaidia kuhusu hilo, Ila sijakuelewa umesema wewe Ni mvuvi wa wapi?
Kijana wangu ingia PM yako, ili kabla ya kuendelea zaidi, ujue unataka msaada kutoka kwa Nani.Ziwa tanganyika kigoma kusini mkuu wamsafara tulimtambua kwajina lamarwa uvuvi niwamitumbwi 2 maarufu unaitwa kipe tunavua kwenye kina kirefu sana nimbali sana na fukwe kwelikweli ni uvuvi salama kabisa kama unaweza kunisaidi mkuu mm nibaba ninamke watoto 7
Nipe muda tafadhali lakini muhanga siomm pekeyangu nimwambaomzima kama kweli upokwaajili yakutusaidia naomba ongea nae huyo bwana afike huko atatuhoji tutampa ushirikianoKijana wangu ingia PM yako, ili kabla ya kuendelea zaidi, ujue unataka msaada kutoka kwa Nani.
Sawa mkuu,Hilo Ni swala dogo,ukiwa tayari utanijulisha.Nipe muda tafadhali lakini muhanga siomm pekeyangu nimwambaomzima kama kweli upokwaajili yakutusaidia naomba ongea nae huyo bwana afike huko atatuhoji tutampa ushirikiano
Asante sana mungu ndieatapanga yoteSawa mkuu,Hilo Ni swala dogo,ukiwa tayari utanijulisha.