Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Kwanini na nyie msitumie wasanii kujaza vichwa?matapeli wakubwa nyie mnawalaghai wasioenda shule!.
wasanii wanatumika kujaza "vichwa" ili maccm baadae yatumie hadaa kwamba jiwe anakubalika kwasabb ya wingi wa watu wakati huo sio uhalisia.
hata Hashimu Rungwe angeambatana na kundi la wasanii naye angekuwa na nyomi kubwa tu ya watu kama ya maccm