ngalelefijo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 3,966
- 2,596
Lowassa means???Magufuli yeye anatangaza mafanikio tu hana muda wa taarabu za kina Tundu Lissu. By the way, hivi kwanini walimpa jina TUNDU? Can anyone explain this to me please?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lowassa means???Magufuli yeye anatangaza mafanikio tu hana muda wa taarabu za kina Tundu Lissu. By the way, hivi kwanini walimpa jina TUNDU? Can anyone explain this to me please?
Mungu tunakuoba utuepushe na balaa hili kadri ya mapenzi yakoRaisi Magufuli ataunguruma kwenye kampeni za uraisi Dar uwanja wa Taifa Temeke kesho Tarehe 9 oktoba 2020.Jiji kesho kusimama.
Kuanzia saa moja asubuhi wananchi wa Dar wametakiwa kufika mapema kwani SAA moja asubuhi shughuli za kampeni zitaanza rasmi uwanjani hapo.
Toka kampeni zianze ni Magufuli pekee ambaye amekuwa akijaza umati mikutano yake mida ya asubuhi tofauti na wengine wa vyama vingine ambao mikutano yao hufanyika jioni giza likiwa linaingia na picha zinazopigwa zikiwa zimejaa Giza wahudhuriaji hawaonekani hata sura.
Cant wait to watch my lovely leader is speaking english in front for the people because peoples want to watch direction of their contreee of the five years which will come.Raisi Magufuli ataunguruma kwenye kampeni za uraisi Dar uwanja wa Taifa Temeke kesho Tarehe 9 oktoba 2020.Jiji kesho kusimama.
Kuanzia saa moja asubuhi wananchi wa Dar wametakiwa kufika mapema kwani SAA moja asubuhi shughuli za kampeni zitaanza rasmi uwanjani hapo.
Toka kampeni zianze ni Magufuli pekee ambaye amekuwa akijaza umati mikutano yake mida ya asubuhi tofauti na wengine wa vyama vingine ambao mikutano yao hufanyika jioni giza likiwa linaingia na picha zinazopigwa zikiwa zimejaa Giza wahudhuriaji hawaonekani hata sura.
TV zote zitaonyesha pia Live
Magufuli yeye anatangaza mafanikio tu hana muda wa taarabu za kina Tundu Lissu. By the way, hivi kwanini walimpa jina TUNDU? Can anyone explain this to me please?
Sema fiesta itaanza sa moja asubuhi .Raisi Magufuli ataunguruma kwenye kampeni za uraisi Dar uwanja wa Taifa Temeke kesho Tarehe 9 oktoba 2020.Jiji kesho kusimama.
Kuanzia saa moja asubuhi wananchi wa Dar wametakiwa kufika mapema kwani SAA moja asubuhi shughuli za kampeni zitaanza rasmi uwanjani hapo.
Toka kampeni zianze ni Magufuli pekee ambaye amekuwa akijaza umati mikutano yake mida ya asubuhi tofauti na wengine wa vyama vingine ambao mikutano yao hufanyika jioni giza likiwa linaingia na picha zinazopigwa zikiwa zimejaa Giza wahudhuriaji hawaonekani hata sura.
Kulikua na aja gani ya kuchanganya lugha mbili kwenye andiko lako? Ulimbukeni huuMagufuli yeye anatangaza mafanikio tu hana muda wa taarabu za kina Tundu Lissu. By the way, hivi kwanini walimpa jina TUNDU? Can anyone explain this to me please?
Kweli magufuli ni jembe ila tundu lisu mi mpini. Na mpini unaingizwa kwenye jembeRaisi anayesubiliwa kuapishwa huyo!!
Tunaposema Magufuli ni Jembe, Vinyamkela muelewe!!!
Hapana. Kuwa borasi lazima ujue Kiingereza ila uwezekano wa kuwa bora (probability) bila Kiingereza ni mdogo sana kwa kuwa unaonyesha uwezo hafifu sana kutokijua baada ya kukisoma miaka yote ile.Kwamba kiongozi bora ni kujua Kiingereza eeh?😂😂 Haya wewe unaekijua umelisaidia nini taifa la Tz? achilia mbali uwezekano wa wewe kuwa Rais.
Hili ni jinaa la kabila lake. Tafadhali jenga hoja kama mtu mzima na anaetumia akili yake kupambanua mambo.Magufuli yeye anatangaza mafanikio tu hana muda wa taarabu za kina Tundu Lissu. By the way, hivi kwanini walimpa jina TUNDU? Can anyone explain this to me please?
Basi kwakua probability ni ndogo sana (si kwamba uwezekano ni zero kabisa)kwa mujibu wa maelezo yako, basi huyu ni miongoni mwa hiyo sehemu ndogo inayowekana kuwepo kati ya moja.Hapana. Kuwa borasi lazima ujue Kiingereza ila uwezekano wa kuwa bora (probability) bila Kiingereza ni mdogo sana kwa kuwa unaonyesha uwezo hafifu sana kutokijua baada ya kukisoma miaka yote ile.
Mbona mnakimbia JAMII FORUMS PALACE.Nukuu:
"We suppose to focus according our direction according our environment that's only way we can help our peoples no body should come and say that his there to save the problems of our peoples we are the one we are leader we suppose to change the direction"
"We suppose to focus according our direction, according our environment, that's only way we can help our peoples. No body should come and say that his there to save the problems of our peoples, we are the one we are leader we suppose to change the direction"Please aongee kile kingereza chake cha Leo nilikipenda kweli yani.
Vivaa Lissu umelitoa lijitu Gereji lilikoenda kufundishwa brokenii
Life is not Fair"We suppose to focus according our direction, according our environment, that's only way we can help our peoples. No body should come and say that his there to save the problems of our peoples, we are the one we are leader we suppose to change the direction"
Raisi Magufuli ataunguruma kwenye kampeni za uraisi Dar uwanja wa Taifa Temeke kesho Tarehe 9 oktoba 2020.Jiji kesho kusimama.
Kuanzia saa moja asubuhi wananchi wa Dar wametakiwa kufika mapema kwani SAA moja asubuhi shughuli za kampeni zitaanza rasmi uwanjani hapo.
Toka kampeni zianze ni Magufuli pekee ambaye amekuwa akijaza umati mikutano yake mida ya asubuhi tofauti na wengine wa vyama vingine ambao mikutano yao hufanyika jioni giza likiwa linaingia na picha zinazopigwa zikiwa zimejaa Giza wahudhuriaji hawaonekani hata sura.
Itasimama wapi? Muwashukuru sana hao wasanii wanaowatumbuiza.Kesho nchi itasimama wanaccm watajaa wanachadema watajaa kila chama kitakuwepo
[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]Magufuli yeye anatangaza mafanikio tu hana muda wa taarabu za kina Tundu Lissu. By the way, hivi kwanini walimpa jina TUNDU? Can anyone explain this to me please?