Uchaguzi 2020 Kesho tarehe 9 Oktoba 2020 Dkt. Magufuli kunguruma kampeni uwanja wa Taifa, shughuli kuanza saa moja asubuhi

Uchaguzi 2020 Kesho tarehe 9 Oktoba 2020 Dkt. Magufuli kunguruma kampeni uwanja wa Taifa, shughuli kuanza saa moja asubuhi

Kesho tunapata muelekeo wa serikali ijayo. Flyovers 5 mpya zinakwenda kutangazwa kujengwa 2020-2025
 
Raisi Magufuli ataunguruma kwenye kampeni za uraisi Dar uwanja wa Taifa Temeke kesho Tarehe 9 oktoba 2020.Jiji kesho kusimama

Kuanzia saa moja asubuhi wananchi wa Dar wametakiwa kufika mapema kwani SAA moja asubuhi shughuli za kampeni zitaanza rasmi uwanjani hapo

Toka kampeni zianze ni Magufuli pekee ambaye amekuwa akijaza umati mikutano yake mida ya asubuhi tofauti na wengine wa vyama vingine ambao mikutano yao hufanyika jioni giza likiwa linaingia na picha zinazopigwa zikiwa zimejaa Giza wahudhuriaji hawaonekani hata sura
so anaunguruma kama Simba Jike au Dume?? au anaunguruma kama mzazi aliepoteza watoto...yaani CCM huyu anahugurumaje??
Tu

Tundu Lissu
pole sana shrt
 
Sio watoto wangu mkuu. Ni wa taifa hili na wamelazimishwa kwenda huko. Trust me bila ujinga huu mnaofanya hizo nyomi mngezisikia kwa jirani.
Unaposema wamelazimishwa, kipi ambacho kitawasukuma? watashikiwa bunduki,watafukuzwa shule wasipoenda au? Kama si hivyo naamini wamepewa ruhusa tu ya kufanya hivyo, maana yake kila mtu taenda kwa mapenzi yake. Ukiona hata mtoto wako(mwanafunzi) ameenda kule, ujue kavutiwa na kilichopo kule,na kama angeamua kubaki kujisomea kama wewe unachotaka, hakuna mtu ambae angekuja kumsumbua.
 
Mtaani kwetu Gari linapita muda huu likitangaza magari yatakuwepo ofisi ya CCM kuanzia saa12 mpaka saa 5 asubuhi.
 
Magufuli yeye anatangaza mafanikio tu hana muda wa taarabu za kina Tundu Lissu. By the way, hivi kwanini walimpa jina TUNDU? Can anyone explain this to me please?
Sababu ni mtanzania asilia sio mhutu kama yule mkimbizi anayegombea tena
 
Kesho nchi itasimama wanaccm watajaa wanachadema watajaa kila chama kitakuwepo

Wana dar es salaam walishasema hawawezi kumchagua mgombea ambae hana office ya chama mtaani kwao.
Wanasema huo ni ujinga kukutana na mtu barabarani, akakuambia yeye ni fundi cherehani mzuuuri nawe ukakubali kumkabidhi fundi nguo yako akushonee iwe tayari ndani ya siku kadhaa ilihali hujui office yake ilipo.
 
Unaposema wamelazimishwa, kipi ambacho kitawasukuma? watashikiwa bunduki,watafukuzwa shule wasipoenda au? Kama si hivyo naamini wamepewa ruhusa tu ya kufanya hivyo, maana yake kila mtu taenda kwa mapenzi yake. Ukiona hata mtoto wako(mwanafunzi) ameenda kule, ujue kavutiwa na kilichopo kule,na kama angeamua kubaki kujisomea kama wewe unachotaka, hakuna mtu ambae angekuja kumsumbua.
Nashukuru mkuu.
 
Tunajiuliza imekuwaje kiswahili imekuwa kipaombele ya taifa hata kwenye mikutano ya sadc kumbe english ni tatizo
 
Raisi Magufuli ataunguruma kwenye kampeni za uraisi Dar uwanja wa Taifa Temeke kesho Tarehe 9 oktoba 2020.Jiji kesho kusimama.

Kuanzia saa moja asubuhi wananchi wa Dar wametakiwa kufika mapema kwani SAA moja asubuhi shughuli za kampeni zitaanza rasmi uwanjani hapo.

Toka kampeni zianze ni Magufuli pekee ambaye amekuwa akijaza umati mikutano yake mida ya asubuhi tofauti na wengine wa vyama vingine ambao mikutano yao hufanyika jioni giza likiwa linaingia na picha zinazopigwa zikiwa zimejaa Giza wahudhuriaji hawaonekani hata sura.
Ahaa anayeunguruma na Magu au DIAMOND na ALIKIBA?
 
"Tumefuta Bunge Live ili watu wachape kazi" Ila vipi kuhusu hayo makongamano mnayo yarusha kuanzia saa moja asubuhi? Tena siku ya kazi!!
Muwe mnaweka na akiba ya maneno. Ni aibu unapokua mungo kupitiliza.
Mkuu, hiki si ni kipindi cha kampeni!
 
Back
Top Bottom