Uchaguzi 2020 Kesho tarehe 9 Oktoba 2020 Dkt. Magufuli kunguruma kampeni uwanja wa Taifa, shughuli kuanza saa moja asubuhi

Uchaguzi 2020 Kesho tarehe 9 Oktoba 2020 Dkt. Magufuli kunguruma kampeni uwanja wa Taifa, shughuli kuanza saa moja asubuhi

Mna maneno ya kujikweza sana ,kabla ya kuingia ktk mchakato wa Uchaguzi si ninyi mlikuwa mkimpamba Mzee wa Watu kuwa hamna haja ya kampeni kutokana na aliyo kwisha kuyafanya !?.Sasa Dazeni nzima za Wasanii na Matangazo 24Hrs mpaka kwenye Mitaro ya Maji taka ni ya nini !?.Si mngetulia tu kusubiri kunuapisha ?
Mkuu kwani amekwambia uongo? Ni kweli Mbagala Zakhem haiwezi kutosha kwa ukubwa wa kampeni za CCM. Kuhusu swala la wasanii na miziki, nadhani hata kwenye kampeni zenu miziki husikika, kinachowagharimu nyinyi Ni kukosa hela za kuwalipa tu😂😂.
 
Raisi Magufuli ataunguruma kwenye kampeni za uraisi Dar uwanja wa Taifa Temeke kesho Tarehe 9 oktoba 2020.Jiji kesho kusimama

Kuanzia saa moja asubuhi wananchi wa Dar wametakiwa kufika mapema kwani SAA moja asubuhi shughuli za kampeni zitaanza rasmi uwanjani hapo

Toka kampeni zianze ni Magufuli pekee ambaye amekuwa akijaza umati mikutano yake mida ya asubuhi tofauti na wengine wa vyama vingine ambao mikutano yao hufanyika jioni giza likiwa linaingia na picha zinazopigwa zikiwa zimejaa Giza wahudhuriaji hawaonekani hata sura
Nitaeeeeeendaaaaa
 
Hizo ni kampeni au Tamasha la Music ,maana Waeanii kama wote kutumbuiza daaah sawa bana.
Ni vyote kwa mpigo wasanii ni wapiga kura wetu,wapenda matamasha nao ni wapiga kura wetu ,wapenda sera nao ni wapiga kura wetu.Tuna moblize wote na kuwapa kile roho inapenda tarehe 28 October watupe kura

Tukiziomba kura kwa wasanii na wapenzi wao na washabilki wao

After all kwa CCM KAMPENI SIO ENEO LA MSIBA NI LA FURAHA
 
Mkuu kwani amekwambia uongo? Ni kweli Mbagala Zakhem haiwezi kutosha kwa ukubwa wa kampeni za CCM. Kuhusu swala la wasanii na miziki, nadhani hata kwenye kampeni zenu miziki husikika, kinachowagharimu nyinyi Ni kukosa hela za kuwalipa tu😂😂.

Chadema hawana haja ya Wasanii kule ,wao huwa wana nadi Sera zao zaidi na kuwa elimisha Wananchi juu ya masuala mbalimbali yanayo husu Nchi yao.
 
Kuna tofauti ya kusikika Miziki ya Matangazo na kutembea na lundo la Wasanii.
Sio matangazo tu,hata kwenye kampeni zenu miziki inapigwa vizuri tu, sema nyinyi hamna hela za kuwalipa wasanii,hata kama wapo wenye kuipenda CDM.
 
Gari yenu ya mkaa Leo imetoka gereji kwa ubovu ule hahahahahaha
Shida sasa kama mafundi hawajakagua vizuri brake! Maana bola brake hilo gari ni hatari, anaweza kusema Wazaramo nasikia kwa mauno hamjambo! Mtanipa??!
 
Mna maneno ya kujikweza sana ,kabla ya kuingia ktk mchakato wa Uchaguzi si ninyi mlikuwa mkimpamba Mzee wa Watu kuwa hamna haja ya kampeni kutokana na aliyo kwisha kuyafanya !?.Sasa Dazeni nzima za Wasanii na Matangazo 24Hrs mpaka kwenye Mitaro ya Maji taka ni ya nini !?.Si mngetulia tu kusubiri kunuapisha ?
Tena mkuu, kesho wanafunzi wa kidato cha 3 hadi cha 6 wametakiwa kwenda uwanjani na nguo za nyumbani. Walimu wote pia wafike bila kukosa.
Najiuliza haki ya kusoma ya hawa watoto kwa nini ibinywe wakati CCM inakubalika?
 
Chadema hawana haja ya Wasanii kule ,wao huwa wana nadi Sera zao zaidi na kuwa elimisha Wananchi juu ya masuala mbalimbali yanayo husu Nchi yao.
Tusifundishane kulima kila mtu alime ajuavyo october 28 ndipo kitaeleweka nani ni nani
 
Chadema hawana haja ya Wasanii kule ,wao huwa wana nadi Sera zao zaidi na kuwa elimisha Wananchi juu ya masuala mbalimbali yanayo husu Nchi yao.
Ile miziki mnayopiga kwenye zile spika mkweche huwa ni nini? 😂😂, Kuhusu swala la mziki na wasanii huna hoja ya msingi mkuu.
 
Kwa hiyo kesho tuna jambo letu na Mondi pamoja na Konde boy hapo uwanja wa Taifa kama kawa
Kesho Ali Kiba atashuka na parachuti kama Konde boy alivyoshuka na kamba na kufikia mgongo siku ya Yanga!
Kiba anaweza kutua na kidevu kikitangulia!
 
Raisi Magufuli ataunguruma kwenye kampeni za uraisi Dar uwanja wa Taifa Temeke kesho Tarehe 9 oktoba 2020.Jiji kesho kusimama

Kuanzia saa moja asubuhi wananchi wa Dar wametakiwa kufika mapema kwani SAA moja asubuhi shughuli za kampeni zitaanza rasmi uwanjani hapo

Toka kampeni zianze ni Magufuli pekee ambaye amekuwa akijaza umati mikutano yake mida ya asubuhi tofauti na wengine wa vyama vingine ambao mikutano yao hufanyika jioni giza likiwa linaingia na picha zinazopigwa zikiwa zimejaa Giza wahudhuriaji hawaonekani hata sura
Wapuuzi huwa na upumbavu mmoja..KUOTA NDOTO ZA MCHANA NA KUTUNGA MAMBO YALIYOKOSA UHALISIA
 
By the way, hivi kwanini walimpa jina TUNDU? Can anyone explain this to me please?
JINA la kwanza hubeba kila kitu kwenye maisha na hatima ya watu

Tundu ni mtundu kama jina lake lilivyo na ana ma tundu kibao ya risasi mwilini mwake
 
Ni vyote kwa mpigo wasanii ni wapiga kura wetu,wapenda matamasha nao ni wapiga kura wetu ,wapenda sera nao ni wapiga kura wetu.Tuna moblize wote na kuwapa kile roho inapenda tarehe 28 October watupe kura

Tukiziomba kura kwa wasanii na wapenzi wao na washabilki wao

After all kwa CCM KAMPENI SIO ENEO LA MSIBA NI LA FURAHA

Ndio Sababu tunayaita hayo ni matamasha ,kwani bila ya kuwa na Wasanii kwenye kampeni hao hao Wasanii hawawezi kuwapigia kura !?.

Mme chokwa sana hiyo sio dalili nzuri ya kuwavutia Watu kwa style hii ya kuwatumia Wasanii ,TBCCCM ina watangaza 24Hrs na Mabango mmebadika mpaka kwenye Madirisha yetu huku Uswazi ila bado hamjiamini why ?..mna tatizo nyie na kimeo chenu hicho
 
Hakuna shaka kwa mkoa wa DSM JPM atashinda kwa zaidi ya 99%
Mambo aliyo yafanya Rais Magufuli hapa DSM hayana kifani! kura trh 28/10/2020 alfajiri tutakuwa ktk foleni kumpigia kura.
naamini wana DSM wote watajitokeza zaidi siku ya kupiga kura...kwa lengo la kufanikisha ushindi wa kishondo kwa JPM
 
Tena mkuu, kesho wanafunzi wa kidato cha 3 hadi cha 6 wametakiwa kwenda uwanjani na nguo za nyumbani. Walimu wote pia wafike bila kukosa.
Najiuliza haki ya kusoma ya hawa watoto kwa nini ibinywe wakati CCM inakubalika?
Propaganda hazitawasidia kitu,sisi pia tunasomesha na Wala hatuna hizo taarifa .Hata hivyo nataka nikujibu kulingana na propaganda zako za kitoto. Watoto wa kidato Cha 3-6,ni watu wazima wenye sifa za kupiga Kura, na sidhani Kama watashikia bunduki ili kuwalazimisha kwenda uwanjani.
 
JINA la kwanza hubeba kila kitu kwenye maisha na hatima ya watu

Tundu ni mtundu kama jina lake lilivyo na ana ma tundu kibao ya risasi mwilini mwake

Hapa inaonyesha mlivyo wauaji wenye kiu na Damu za Watu kisa madaraka.
 
Back
Top Bottom