Uchaguzi 2020 Kesho tarehe 9 Oktoba 2020 Dkt. Magufuli kunguruma kampeni uwanja wa Taifa, shughuli kuanza saa moja asubuhi

Uchaguzi 2020 Kesho tarehe 9 Oktoba 2020 Dkt. Magufuli kunguruma kampeni uwanja wa Taifa, shughuli kuanza saa moja asubuhi

Tunaomba watu wa Dar msije kutufanyia kama walichofanya watu wa Zanzibar
View attachment 1594274

sasa wakiondoka shida nn? kwamba wanaenda ufipa ama
! haya huyu apa bila wasanii

1602176714381.png
 
Please aongee kile kingereza chake cha Leo nilikipenda kweli yani.
Nukuu:
"We suppose to focus according our direction according our environment that's only way we can help our peoples no body should come and say that his there to save the problems of our peoples we are the one we are leader we suppose to change the direction"
 
Raisi Magufuli ataunguruma kwenye kampeni za uraisi Dar uwanja wa Taifa Temeke kesho Tarehe 9 oktoba 2020.Jiji kesho kusimama

Kuanzia saa moja asubuhi wananchi wa Dar wametakiwa kufika mapema kwani SAA moja asubuhi shughuli za kampeni zitaanza rasmi uwanjani hapo

Toka kampeni zianze ni Magufuli pekee ambaye amekuwa akijaza umati mikutano yake mida ya asubuhi tofauti na wengine wa vyama vingine ambao mikutano yao hufanyika jioni giza likiwa linaingia na picha zinazopigwa zikiwa zimejaa Giza wahudhuriaji hawaonekani hata sura
Kama watumishi wa serikali huitwa majina uwanjani atashindwaje kujaza uwanja? Kesho fiesta kuna wanamuziki gani nami nije?
 
Nukuu:
"We suppose to focus according our direction according our environment that's only way we can help our peoples no body should come and say that his there to save the problems of our peoples we are the one we are leader we suppose to change the direction"

😁😁😜 Jiwe katika Ubora wake.
 
Kwamba kiongozi bora ni kujua Kiingereza eeh?😂😂 Haya wewe unaekijua umelisaidia nini taifa la Tz? achilia mbali uwezekano wa wewe kuwa Rais.
Kwani Mimi nilimwambia awe comedian kwa kujaribu kuongea lugha ambayo hajawahi bata above D kwenye mitihani yake?
 
Naona tbc inatangaza timu nzima ya fiesta,na mgeni rasmi ni mzee mzima wa futuhi
 
Kuna watu wanakereka , wanaweweseka wakisikia hivi! Ila ndo hivyo tena JPM tunae sana mpaka 2025! Twendeni kesho tikaijaze Taifa tukamuoneshe yule mtembezi wa Ubelgiji! kuwa Urais sio size yake!.
 
Naona Sasa wanatafuta viwanja ambavyo wanaweza kuwafungia mageti wasitoke baada ya show kuisha
Hivi unafikili kwa Dar ni kiwanja gani kinatosha kufanyia kampeni za CCM kwa sasa! Ulitaka wakafanyie Zakhem! ambapo yule mbelgiji alishindwa kuujaza?!
 
Hivi unafikili kwa Dar ni kiwanja gani kinatosha kufanyia kampeni za CCM kwa sasa! Ulitaka wakafanyie Zakhem! ambapo yule mbelgiji alishindwa kuujaza?!
Mna maneno ya kujikweza sana ,kabla ya kuingia ktk mchakato wa Uchaguzi si ninyi mlikuwa mkimpamba Mzee wa Watu kuwa hamna haja ya kampeni kutokana na aliyo kwisha kuyafanya !?.Sasa Dazeni nzima za Wasanii na Matangazo 24Hrs mpaka kwenye Mitaro ya Maji taka ni ya nini !?.Si mngetulia tu kusubiri kunuapisha ?
 
Wasanii gani watamsaidia kunguruma hiyo kesho? Siyo tunakuja halafu tunamkuta Peter Msechu pekee akichezesha tu kitambi na ule wimbo wake wa nyota naing'ae.
Fiesta asubuhi siku ya kazi,

Nukuu:
"We suppose to focus according our direction according our environment that's only way we can help our peoples no body should come and say that his there to save the problems of our peoples we are the one we are leader we suppose to change the direction"
Mkuu kama ni kweli basi amejitahidi sana
 
Back
Top Bottom