mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Na kweli fuso zote za mjini zimeshakodiwaAngeenda Mbagala Zakhem Kama nyinyi pasingetosha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kweli fuso zote za mjini zimeshakodiwaAngeenda Mbagala Zakhem Kama nyinyi pasingetosha.
Ile gari iliyoungwa vyuma vya kutosha itafanya route zake tena?Tupeni ratiba, baada ya mlimani city kituo gani kinafata?Shida sasa kama mafundi hawajakagua vizuri brake! Maana bola brake hilo gari ni hatari, anaweza kusema Wazaramo nasikia kwa mauno hamjambo! Mtanipa??!
Ile miziki mnayopiga kwenye zile spika mkweche huwa ni nini? 😂😂, Kuhusu swala la mziki na wasanii huna hoja ya msingi mkuu.
tunawahitaji na washabiki wao waje watusikilize na wasikilize nyimbo za kampeni za Magufuli zikishushwaa kuwahamasisha wampe kura zote za ndiyo JPMNdio Sababu tunayaita hayo ni matamasha ,kwani bila ya kuwa na Wasanii kwenye kampeni hao hao Wasanii hawawezi kuwapigia kura !?.
Dar inawakazi 8m..uwanja wa Mkapa una capacity ya 60k..mkajipange MaCCMKesho nchi itasimama wanaccm watajaa wanachadema watajaa kila chama kitakuwepo
tunawahitaji na washabiki wao waje watusikilize na wasikilize nyimbo za kampeni za Magufuli zikishushwaa kuwahamasisha wampe kura zote za ndiyo JPM
Hii hoja yako ina aksi umaskini wako wa fikra na kiuchumi.Na kweli fuso zote za mjini zimeshakodiwa
Propaganda vipi wakati mkurugenzi aliitisha kikao na wakuu wa shule then akawapa maelekezoPropaganda hazitawasidia kitu,sisi pia tunasomesha na Wala hatuna hizo taarifa .Hata hivyo nataka nikujibu kulingana na propaganda zako za kitoto. Watoto wa kidato Cha 3-6,ni watu wazima wenye sifa za kupiga Kura, na sidhani Kama watashikia bunduki ili kuwalazimisha kwenda uwanjani.
Umeandika ujingagani hapa?Dar inawakazi 8m..uwanja wa Mkapa una capacity ya 60k..mkajipange MaCCM
Hilo jina ndo linalowafaa!
60k ni wanaokaa kwenye viti. Kumbuka hii kusimama katikati ya pitch ni ruksa. Sawa mama Lissu. Utajeruhiwa na vyuma vya mmeoDar inawakazi 8m..uwanja wa Mkapa una capacity ya 60k..mkajipange MaCCM
Hao Ni watoto wako wasiojitambua,wakwangu wataendelea na masomo Kama kawaida.Propaganda vipi wakati mkurugenzi aliitisha kikao na wakuu wa shule then akawapa maelekezo
Nina uhakika na ninachokisema. Acheni watoto wasome
Kwa hiyo Kodi za watanzania zinaenda kuteketea kwenye airtime za tbc kwa ajili ya wasanii?Raisi Magufuli ataunguruma kwenye kampeni za uraisi Dar uwanja wa Taifa Temeke kesho Tarehe 9 oktoba 2020.Jiji kesho kusimama
Kuanzia saa moja asubuhi wananchi wa Dar wametakiwa kufika mapema kwani SAA moja asubuhi shughuli za kampeni zitaanza rasmi uwanjani hapo
Toka kampeni zianze ni Magufuli pekee ambaye amekuwa akijaza umati mikutano yake mida ya asubuhi tofauti na wengine wa vyama vingine ambao mikutano yao hufanyika jioni giza likiwa linaingia na picha zinazopigwa zikiwa zimejaa Giza wahudhuriaji hawaonekani hata sura
Hata na mimi sielewi kwanini mtu awe POMBE??Magufuli yeye anatangaza mafanikio tu hana muda wa taarabu za kina Tundu Lissu. By the way, hivi kwanini walimpa jina TUNDU? Can anyone explain this to me please?
Pombe ndiyo naniHata na mimi sielewi kwanini mtu awe POMBE??
Mataga bhana😂😂Raisi Magufuli ataunguruma kwenye kampeni za uraisi Dar uwanja wa Taifa Temeke kesho Tarehe 9 oktoba 2020.Jiji kesho kusimama
Kuanzia saa moja asubuhi wananchi wa Dar wametakiwa kufika mapema kwani SAA moja asubuhi shughuli za kampeni zitaanza rasmi uwanjani hapo
Toka kampeni zianze ni Magufuli pekee ambaye amekuwa akijaza umati mikutano yake mida ya asubuhi tofauti na wengine wa vyama vingine ambao mikutano yao hufanyika jioni giza likiwa linaingia na picha zinazopigwa zikiwa zimejaa Giza wahudhuriaji hawaonekani hata sura
Wakati amejichomeka tuu mwenyewe last night kwenye kidhungu nikajua hiyi mwisho ni hajari kwenye hotubaNukuu:
"We suppose to focus according our direction according our environment that's only way we can help our peoples no body should come and say that his there to save the problems of our peoples we are the one we are leader we suppose to change the direction"
Sio watoto wangu mkuu. Ni wa taifa hili na wamelazimishwa kwenda huko. Trust me bila ujinga huu mnaofanya hizo nyomi mngezisikia kwa jirani.Hao Ni watoto wako wasiojitambua,wakwangu wataendelea na masomo Kama kawaida.