Uchaguzi 2020 Kesho tarehe 9 Oktoba 2020 Dkt. Magufuli kunguruma kampeni uwanja wa Taifa, shughuli kuanza saa moja asubuhi

Uchaguzi 2020 Kesho tarehe 9 Oktoba 2020 Dkt. Magufuli kunguruma kampeni uwanja wa Taifa, shughuli kuanza saa moja asubuhi

Shida sasa kama mafundi hawajakagua vizuri brake! Maana bola brake hilo gari ni hatari, anaweza kusema Wazaramo nasikia kwa mauno hamjambo! Mtanipa??!
Ile gari iliyoungwa vyuma vya kutosha itafanya route zake tena?Tupeni ratiba, baada ya mlimani city kituo gani kinafata?
 
Ile miziki mnayopiga kwenye zile spika mkweche huwa ni nini? 😂😂, Kuhusu swala la mziki na wasanii huna hoja ya msingi mkuu.

Nnayo sana ,wapo Watu wanao zuzuka na Wasanii hivyo watakuja kuwashuhudia Wasanii wao na sio kingine.
 
Nyomi ya wanafunzi na watumishi wa umma. Siendi hata nikiwa marehemu
 
Ndio Sababu tunayaita hayo ni matamasha ,kwani bila ya kuwa na Wasanii kwenye kampeni hao hao Wasanii hawawezi kuwapigia kura !?.
tunawahitaji na washabiki wao waje watusikilize na wasikilize nyimbo za kampeni za Magufuli zikishushwaa kuwahamasisha wampe kura zote za ndiyo JPM
 
tunawahitaji na washabiki wao waje watusikilize na wasikilize nyimbo za kampeni za Magufuli zikishushwaa kuwahamasisha wampe kura zote za ndiyo JPM

Sawa Mkuu ,kila kheri na Tamasha lenu.
 
Propaganda hazitawasidia kitu,sisi pia tunasomesha na Wala hatuna hizo taarifa .Hata hivyo nataka nikujibu kulingana na propaganda zako za kitoto. Watoto wa kidato Cha 3-6,ni watu wazima wenye sifa za kupiga Kura, na sidhani Kama watashikia bunduki ili kuwalazimisha kwenda uwanjani.
Propaganda vipi wakati mkurugenzi aliitisha kikao na wakuu wa shule then akawapa maelekezo
Nina uhakika na ninachokisema. Acheni watoto wasome
 
Propaganda vipi wakati mkurugenzi aliitisha kikao na wakuu wa shule then akawapa maelekezo
Nina uhakika na ninachokisema. Acheni watoto wasome
Hao Ni watoto wako wasiojitambua,wakwangu wataendelea na masomo Kama kawaida.
 
Raisi Magufuli ataunguruma kwenye kampeni za uraisi Dar uwanja wa Taifa Temeke kesho Tarehe 9 oktoba 2020.Jiji kesho kusimama

Kuanzia saa moja asubuhi wananchi wa Dar wametakiwa kufika mapema kwani SAA moja asubuhi shughuli za kampeni zitaanza rasmi uwanjani hapo

Toka kampeni zianze ni Magufuli pekee ambaye amekuwa akijaza umati mikutano yake mida ya asubuhi tofauti na wengine wa vyama vingine ambao mikutano yao hufanyika jioni giza likiwa linaingia na picha zinazopigwa zikiwa zimejaa Giza wahudhuriaji hawaonekani hata sura
Kwa hiyo Kodi za watanzania zinaenda kuteketea kwenye airtime za tbc kwa ajili ya wasanii?
 
Karibuni tushuhudie fiesta,kiingilio ni bureeeeeeeeeee.
 
Magufuli yeye anatangaza mafanikio tu hana muda wa taarabu za kina Tundu Lissu. By the way, hivi kwanini walimpa jina TUNDU? Can anyone explain this to me please?
Hata na mimi sielewi kwanini mtu awe POMBE??
 
Raisi Magufuli ataunguruma kwenye kampeni za uraisi Dar uwanja wa Taifa Temeke kesho Tarehe 9 oktoba 2020.Jiji kesho kusimama

Kuanzia saa moja asubuhi wananchi wa Dar wametakiwa kufika mapema kwani SAA moja asubuhi shughuli za kampeni zitaanza rasmi uwanjani hapo

Toka kampeni zianze ni Magufuli pekee ambaye amekuwa akijaza umati mikutano yake mida ya asubuhi tofauti na wengine wa vyama vingine ambao mikutano yao hufanyika jioni giza likiwa linaingia na picha zinazopigwa zikiwa zimejaa Giza wahudhuriaji hawaonekani hata sura
Mataga bhana😂😂
 
Nukuu:
"We suppose to focus according our direction according our environment that's only way we can help our peoples no body should come and say that his there to save the problems of our peoples we are the one we are leader we suppose to change the direction"
Wakati amejichomeka tuu mwenyewe last night kwenye kidhungu nikajua hiyi mwisho ni hajari kwenye hotuba
 
Hao Ni watoto wako wasiojitambua,wakwangu wataendelea na masomo Kama kawaida.
Sio watoto wangu mkuu. Ni wa taifa hili na wamelazimishwa kwenda huko. Trust me bila ujinga huu mnaofanya hizo nyomi mngezisikia kwa jirani.
 
Back
Top Bottom