der23
Member
- Sep 28, 2020
- 20
- 16
Kama kawaidaKwa hiyo kesho tuna jambo letu na Mondi pamoja na Konde boy hapo uwanja wa Taifa kama kawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kawaidaKwa hiyo kesho tuna jambo letu na Mondi pamoja na Konde boy hapo uwanja wa Taifa kama kawa
Ndiowasanii watakuepo?
Mkaribishe jiweMbona mnakimbia JAMII FORUMS PALACE.
Njooni kule tuone English Yenu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].......mjomba hivi ni kweli kabisa na wewe umeingia kwenye mkumbo huu wa kutokuwa na subira hadi uanze kutoa lugha za jazba namna hii, jitahidini kuvumilia tu karibu tunamaliza na wala haiumi sanaWapuuzi huwa na upumbavu mmoja..KUOTA NDOTO ZA MCHANA NA KUTUNGA MAMBO YALIYOKOSA UHALISIA
Sisi wa mbezi Luis mabasi tutapandia wapi?Raisi Magufuli ataunguruma kwenye kampeni za uraisi Dar uwanja wa Taifa Temeke kesho Tarehe 9 oktoba 2020.Jiji kesho kusimama.
Kuanzia saa moja asubuhi wananchi wa Dar wametakiwa kufika mapema kwani SAA moja asubuhi shughuli za kampeni zitaanza rasmi uwanjani hapo.
Toka kampeni zianze ni Magufuli pekee ambaye amekuwa akijaza umati mikutano yake mida ya asubuhi tofauti na wengine wa vyama vingine ambao mikutano yao hufanyika jioni giza likiwa linaingia na picha zinazopigwa zikiwa zimejaa Giza wahudhuriaji hawaonekani hata sura.
Watu wa mbezi Luis usafiri wa kwenda taifa unapatikana wapi?Jinga Sana Hilo lililochukua video ambayo hata haina ushahidi hata kidogo
Kumbuka kubeba mihogo na maji ndugu utashinda njaa hukoWatu wa mbezi Luis usafiri wa kwenda taifa unapatikana wapi?
Haitabadili uhalisia wa nilichoandika[emoji1536][emoji818][emoji617][emoji777][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].......mjomba hivi ni kweli kabisa na wewe umeingia kwenye mkumbo huu wa kutokuwa na subira hadi uanze kutoa lugha za jazba namna hii, jitahidini kuvumilia tu karibu tunamaliza na wala haiumi sana
Tunashukuru tupate burudani ya bure, maana Diamond na Ally Kiba kupanda jukwaa moja siyo show ya kitoto.TV zote zitaonyesha pia Live
Wasanii nao ni wapiga kura wao, hivyo wana haki ya kusherehekea mafanikio ya awamu ya tano.Hizo ni kampeni au Tamasha la Music ,maana Waeanii kama wote kutumbuiza daaah sawa bana.
Wasanii nao ni wapiga kura wao, hivyo wana haki ya kusherehekea mafanikio ya awamu ya tano.
jangwaniHivi unafikili kwa Dar ni kiwanja gani kinatosha kufanyia kampeni za CCM kwa sasa! Ulitaka wakafanyie Zakhem! ambapo yule mbelgiji alishindwa kuujaza?!
matapeli wakubwa nyie mnawalaghai wasioenda shule!.Ni vyote kwa mpigo wasanii ni wapiga kura wetu,wapenda matamasha nao ni wapiga kura wetu ,wapenda sera nao ni wapiga kura wetu.Tuna moblize wote na kuwapa kile roho inapenda tarehe 28 October watupe kura
Tukiziomba kura kwa wasanii na wapenzi wao na washabilki wao
After all kwa CCM KAMPENI SIO ENEO LA MSIBA NI LA FURAHA
Wewe usiekijuwa umeteteaje mashekh tuliseme hili nithwawabu kwa mungu tusiipende sana dunia tuitamani aheraKwamba kiongozi bora ni kujua Kiingereza eeh?😂😂 Haya wewe unaekijua umelisaidia nini taifa la Tz? achilia mbali uwezekano wa wewe kuwa Rais.
Kwamba kiongozi bora ni kujua Kiingereza eeh?[emoji23][emoji23] Haya wewe unaekijua umelisaidia nini taifa la Tz? achilia mbali uwezekano wa wewe kuwa Rais.
Huyu maimuna kaisaidia nini nchi wakiwamo kina Ben, Azory na hata wale wa kwenye viroba?
Wewe ni mjinga tu!Huyu maimuna kaisaidia nini nchi wakiwamo kina Ben, Azory na hata wale wa kwenye viroba?
Katoa bilion 7Mtoto wa Dada ameshatoa Tshs ngapi kuwalipa wasanii?