The BornAgain
JF-Expert Member
- Jun 23, 2024
- 428
- 582
Endeleeni tu kujiliwaza kila msimu Yanga wachezaji bora wanaingia. Yanga haijakalili kukaa na wachezaji kama Simba. Msimu ujao kuna maingizo mapya kama kawaida. Mtasubiri sana na hao under 17 wenu.View attachment 3130558Ni kweli Simba kafungwa mechi 4 mfululizo na kapoteza ubingwa mara 3 mfululizo lakini haiondoi ukweli kwamba muelekeo wa ni sahihi na wanakaribia kuupata ule ubora wao wa misimu minne iliyopita.
Simba kwa sasa haifungwi kwa makosa ya kiufundi ya Timu nzima bali inafungwa kwa makosa ya kibinadamu ya mchezaji mmoja mmoja kitu ambacho timu yoyote inaweza kupitia hiyo hali.
Tazama magoli yaliyoikesha alama 2 za Coastal Union kisha tazama bao la jana utagundua kwamba magoli waliyofungwa sio ya kitimu.
Hii ni hatua nzuri kwa ujenzi wa Timu na wanapaswa kutulia na kuongeza wachezaji wachache sana kwenye usajili dirisha lijalo.
Ukitoa bao la kujifunga hakuna moment ambayo Simba walionekana kuzidiwa na kuonesha utofauti wa daraja la ubora kati yao na Yanga ambao wana kikosi kilichokaa pamoja kwa muda mrefu.
Wakati Simba wanaanza kushuka na Yanga kutawala soka la Tanzania hivi karibuni dalili zilikuwa hizi hizi...kutoka kushinda kwa mbwembwe hadi kuomba Mungu mechi iishe.
Siku za mashabiki wa Simba kufurahi haziko mbali...na siku za mashabiki wa Yanga kutoka kinyonge Lupaso zipo karibuni.
Inaweza isiwe leo au kesho lakini hata Yanga wenyewe wanajua kuwa Simba hii sio ya miaka miwili nyuma...wameimarika sana!
✍️Sospeter Ilagila.
🚮Kwakweli inabidi nijitafakari kwanini Simba wanafungwa mara 4 mfululizo wakati Yanga ikiwa unga na wanajitafuta kipindi hicho hakuwa wanyonge kiasi cha kukubali kiwa wateja wa kufungwa tu kila mchezo na Simba. Najitafakari sana mkuu huyu Gamondi
Kesho yake wachezaji wazuri watachukuliwa na timu bora na Simba watasubiri wanaomaliza mikataba!View attachment 3130558Ni kweli Simba kafungwa mechi 4 mfululizo na kapoteza ubingwa mara 3 mfululizo lakini haiondoi ukweli kwamba muelekeo wa ni sahihi na wanakaribia kuupata ule ubora wao wa misimu minne iliyopita.
Simba kwa sasa haifungwi kwa makosa ya kiufundi ya Timu nzima bali inafungwa kwa makosa ya kibinadamu ya mchezaji mmoja mmoja kitu ambacho timu yoyote inaweza kupitia hiyo hali.
Tazama magoli yaliyoikesha alama 2 za Coastal Union kisha tazama bao la jana utagundua kwamba magoli waliyofungwa sio ya kitimu.
Hii ni hatua nzuri kwa ujenzi wa Timu na wanapaswa kutulia na kuongeza wachezaji wachache sana kwenye usajili dirisha lijalo.
Ukitoa bao la kujifunga hakuna moment ambayo Simba walionekana kuzidiwa na kuonesha utofauti wa daraja la ubora kati yao na Yanga ambao wana kikosi kilichokaa pamoja kwa muda mrefu.
Wakati Simba wanaanza kushuka na Yanga kutawala soka la Tanzania hivi karibuni dalili zilikuwa hizi hizi...kutoka kushinda kwa mbwembwe hadi kuomba Mungu mechi iishe.
Siku za mashabiki wa Simba kufurahi haziko mbali...na siku za mashabiki wa Yanga kutoka kinyonge Lupaso zipo karibuni.
Inaweza isiwe leo au kesho lakini hata Yanga wenyewe wanajua kuwa Simba hii sio ya miaka miwili nyuma...wameimarika sana!
✍️Sospeter Ilagila.
tu presha tutawaua!Tulishabikia, tunashabikia na tutaendelea kushabikia Chama kubwa la Simba SC
Kila la heri Kwa timu kubwa
Nguvu moja 💪
Nipo jirani na dawa zangu za Presha 😜tu presha tutawaua!