The BornAgain
JF-Expert Member
- Jun 23, 2024
- 428
- 582
Upo sahihi..simba wanajitafuta...ila wakati wanajitafuta kuna mwenzie anatumia hali yenu ya kujitafuta kujitengenezea ufalme wa vikombe na heshima juu yenu..sasa miaka miwili ijayo wachezaji mliowatengemeza wataamza kusambaa kwingine kwa mikataba kuisha au kudakwa na timu zingine..mana mikataba mingi ni miaka 2 au 3..wakati huo nao washajanjaluka kiwango kizuri..kwahiyo future ya club zetu hizi ni uimara kiuchumi na kiuongozi kisha kupata wachezaji wazuri na wazoefu..timu hizi kubwa hazilei sana vijana, hapa mashabiki wanataka mchezaji avumiliwe msimu mmoja au awe vema mwanzoni kabisa