Uchaguzi 2020 Kesho ya WanaCCM ipo miguuni mwao kujitakasa mbele ya Rais Lissu

Uchaguzi 2020 Kesho ya WanaCCM ipo miguuni mwao kujitakasa mbele ya Rais Lissu

Huu mwaka CCM kupitia kile kijamaa kinaitwa Polepole sijui , mmeamua kuongea ukweli toka mioyoni kwa kukubali kuwa nyie hampo kwa ajili ya wananchi maskini. Kamwe hamjawahi kuwa. Zaidi ni kwamba mnastahili kuondoka madarani. Mmekula mmevimbiwa, hamna UTU. Hadharani mnawatweza walalahoi walipakodi mnazofuja!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
BAELEZE BAKUELEWE JASUSI
ccm ni sikio la kufa
Hii amsha amsha ya Lissu ni mwezi 1 tu ila imewachanganya hawaamini!
BAELEZE BAKUELEWE JASUSI
ccm ni sikio la kufa
Hii amsha amsha ya Lissu ni mwezi 1 tu ila imewachanganya hawaamini!
Kule ba kukaya tunasemaga IMEKISHA bakirudi mupancha.....sebene sebene
 
Polepole alikuwa mzee baada ya kuunga mkono akawa kijana na sasa ataludi tena uzeeni mpaka pale atakapo unga mkono na kuwa kamanda tena na sisi kwa kiburi tutagoma kumuungisha mkono ili tuone uzeeni anakuwaje zaidi.
Atawacha ccm kwenye mataa siku anakabidhi nchi kwa lisu
 
Ilikuwa nisipige kura mpka tupate tume huru ya uchaguzi lakini kwa ajili ya huyu mwamba Lissu naahidi kumpaa kura yangu ili nchi yetu pendwa iwe huru jmn wote mliojiandkisha msiache kwennda kuiondoa ccm madarakani ili nao wawe wapinzani maana wanazani wao wamezaliwa kututawala tu.
 
Ni punguani tu, anaye amini huyu Anti-Pas Lissu atashinda. Watanzania sio wajinga, kuwapa genge la wahuni na mawakala wa mashoga kutawala hii nchi. Tanzania ya kijani inakuja. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki CCM.
 
Ni punguani tu, anaye amini huyu Anti-Pas Lissu atashinda. Watanzania sio wajinga, kuwapa genge la wahuni na mawakala wa mashoga kutawala hii nchi. Tanzania ya kijani inakuja. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki CCM.
Usijigeuza kuwa wewe ni msemaji wa watanzania mpumbavu wewe. Jiongelee kwa nafsi yako acha kutushirikisha bwege wewe. Kutwa kupiga piga propaganda zisizokuwa na maana yoyote.
 
Masaa ya Ukombozi yanakaribia tujitwalia Uhuru wetu kwa kura zetu. Kwenye diplomasia ya utawala kuna msemo wa kiswahili wenye maana sana unasema, "Wali wa kushiba huonekana kwenye sahani". Hii inamaana kwamba Lissu anashinda Uchaguzi huu uwe unapenda au hupendi. Sasa kwenye siasa za vyama vingi unapokuwa kiongozi uliyepo madarakani katika uchaguzi ulio mbele yako ambao wewe ni sehemu ya mshiriki, dalili za kuanguka huanzia kwenye chama chako Kisha huja kwenye serikali unayoiongoza.

Ukiona hayo, kidiplomasia huwa tunaanza kutengeneza njia zako za kesho hasa za maslahi yako na ya wakuzungukao, Bahati mbaya wengi kwakibri cha madaraka huwa hawaoni hili. Hapa unaanza kutafuta kitu kinaitwa maridhiano, haijalishi una majeshi, ama una polisi. Ifahamike kuwa kwenye Vita vya madaraka majeshi hukuunga mkono hatua za mwanzo tu kutisha umma na kukujaza kibri kuwa yatakulinda utabaki madarakani, Lakini hali ikivuka kipimo kidogo cha kiusalama, Jeshi la umma hujitenga nawe hukaa kwa waliowengi.

Sasa kwa mtawala anayeiangalia kesho yake na washauri wake wanaoiangalia kesho yao, humshauri mtawala kutafuta njia rahisi na salama ya kupita na kuiona kesho na kuiishi kesho.

Kwa mifano ya karibu kabisa ya walioona upepo wa kuanguka kwa vyama vyao na wakapuuza au wakakwepa kizuizi cha kuiona kesho, ni Joseph Kabila kule Kongo, Hayati Nkuruzinza kule Burundi, Daniel Arap Moi kule Kenya, nk. Na mifano ya waliokomaza shingo yakawakuta ni Laurent Gbagbo kule Ivory coast, Charles Taylor kule Liberia, Yahya Jammeh wa Gambia nk. Ukiachilia mbali Zambia, Malawi nk.

Nitumie fursa hii kuwashauri CCM popote walipo kwa ngazi zote kuanzia Mwenyekiti wao Taifa ndugu Magufuli, hadi akina Chakubanga, waanze kutafuta maridhiano ya kidiplomasia wakati wakijiandaa kukabidhi madaraka wiki hii, Njia nzuri ya kuondoka madarakani ni kuondoka huku ukiijua kesho yako (Kikatiba) kuliko kutumia muda huu kufikiria ma V8 na anasa zingine katika utawala unaoondoka.

Kwamjibu wa Katiba, mkikabidhi madaraka kwa hiyari ya Kikatiba, maslahi yenu yatalindwa Kikatiba. Fikirieni kinyume chake kisha kesho yenu na vizazi vyenu.

Ni ushauri tu, kuanzia wiki ijayo mtanikumbuka na kunishukuru.

Na Yericko Nyerere
IMG-20201020-WA0010.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Itakuwa ni shangwe kwangu mm na Watanzania ambao tumeonewa ktk miaka hii 5 endapo tu huyu dikteta uchwara atatuachia magogoni kwa amani.
Siku hiyo nafanya surprise kwa familia yangu, naingia zizini nachagua mwanandama aliyenona namchinja tule, tufurahi na jamaa zangu!
 
Jasusi unamaanisha wale naowategemea wanaweza kumkacha wiki ijayo.
Nami nimewaza hivyo, ikitokea hivyo ndipo mzee atajua kua hana ushawishi wowote watu walikua wanaheshimu madaraka yake tu.

Kama namwona mzee atavopanic full kupiga masimu anajibiwa usitufundishe kazi wananchi wameshaamua kujaribu kufanya vinginevyo ni kutaka kuleta maafa, mara paaaap mzee kaanguka chini pressure na sukari vipo juu mara wimbo wa taifa unapigwa, mitaa inalipuka kwa shagwe, taratibu za mazishi zinafanyika kisha tunaendelea na harakati za kuijenga mama Tanzania.
 
Back
Top Bottom