Uchaguzi 2020 Kesho ya WanaCCM ipo miguuni mwao kujitakasa mbele ya Rais Lissu

Uchaguzi 2020 Kesho ya WanaCCM ipo miguuni mwao kujitakasa mbele ya Rais Lissu

Nami nimewaza hivyo, ikitokea hivyo ndipo mzee atajua kua hana ushawishi wowote watu walikua wanaheshimu madaraka yake tu.

Kama namwona mzee atavopanic full kupiga masimu anajibiwa usitufundishe kazi wananchi wameshaamua kujaribu kufanya vinginevyo ni kutaka kuleta maafa, mara paaaap mzee kaanguka chini pressure na sukari vipo juu mara wimbo wa taifa unapigwa, mitaa inalipuka kwa shagwe, taratibu za mazishi zinafanyika kisha tunaendelea na harakati za kuijenga mama Tanzania.
Hii siku ifike kwakweli Kama Aishivyo Mungu wa Eliya na atatenda makuu.
 
Ilikuwa nisipige kura mpka tupate tume huru ya uchaguzi lakini kwa ajili ya huyu mwamba Lissu naahidi kumpaa kura yangu ili nchi yetu pendwa iwe huru jmn wote mliojiandkisha msiache kwennda kuiondoa ccm madarakani ili nao wawe wapinzani maana wanazani wao wamezaliwa kututawala tu.
Ubarikiwe ndugu.
 
Eti Yericko walikuwa wanakusema humu kuwa umesusa,kumbe hawakujua ulikuwa kazini kuwaletea kipande cha ripoti.
 
Lissu amejibu (VOA) anafanya kampeni bila kuzingatia tahadhari za CORONA kwa sababu sio tatizo Tanzania. Amekiri kuwa walikosea kumpinga JPM. Kenya imewagharimu mikopo ya zaidi ya dola 2.4bn, biashara nyingi kufa! Uongozi ni maono jamani!Sio kuiga tu !Tumebahatika JPM ana maono!
 
Back
Top Bottom