technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Labda bao la mkonoYanga in top 3 coach wenye kiwango Cha kimataifa hamsemi
Kesho tunashinda Tena kipindi Cha kwanza bao mbili au zaidi.
Mmejificha kwenye mgogoro wakati Ni movie ya
kutengeneza Kama nyie mlivyotengeneza ya kuelekea kigoma.
Kesho mnapigwa za kutosha na mabeki wazee wale
Ushauri msiende na matokeo mfukoni mtajinyea kesho.
Hapa Nabi, hapa Kaze uku Zahera mtachomokaje?
Usajili pekee mliofanya vizuri msimu huu ni wa msukule,, kaupiga mwingi sana kule Nigeria especially kwenye kitengo cha ukocha na kususa,, huyo kaze hana jipya tunamjua mzee wa droo
ndio waliotiwa na beleke wa mazembeWachezaji gani wa kuifunga Simba,hawa walipigwa mechi tatu za nyuma mfululizo au kuna wapya?
La uwanja wa taifaKwenye Bafu lipi?
alikuwa anasema ok guys war zere war zere on ze pitch sisi nje tushafanya kazi yetu, jamani heeeeUsajili pekee mliofanya vizuri msimu huu ni wa msukule,, kaupiga mwingi sana kule Nigeria especially kwenye kitengo cha ukocha na kususa,, huyo kaze hana jipya tunamjua mzee wa droo
Sema mechi tatu za mwisho ili ueleweke vizuri. Na wakati huo huo utupe na matokeo ya mechi tatu hizo hizo za mwisho za timu yako ya mbumbumbu fc ili tulinganishe.Wachezaji gani wa kuifunga Simba,hawa walipigwa mechi tatu za nyuma mfululizo au kuna wapya?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mseng%%e kweli yule qumaake afu eti anajitamba kaipa simba ubingwa,, mikelele yake ile nani atamuelewa pale simba kwa wale wachezaji wa kigeni kwa kiingereza kile cha kwa mwalimu juma njunju wa tuisheni bonde la msimbazi, bora angeenda hata kwa ras simba😄alikuwa anasema ok guys war zere war zere on ze pitch sisi nje tushafanya kazi yetu, jamani heeee
Mechi tatu za Simba za mwisho kashinda mechi mbili moja kafungwa na Mazembe.Sema mechi tatu za mwisho ili ueleweke vizuri. Na wakati huo huo utupe na matokeo ya mechi tatu hizo hizo za mwisho za timu yako ya mbumbumbu fc ili tulinganishe.
Simba kacheza mechi mbili na Waarab akiwa Morocco, mechi zote alitoa sare. Kacheza mechi na Coastal Union kimya kimya, nayo nasikia alitoa sare! Na mechi ya mwisho ndiyo kafungwa na Tp Mazembe.Mechi tatu za Simba za mwisho kashinda mechi mbili moja kafungwa na Mazembe.