technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Yanga in top 3 coach wenye kiwango Cha kimataifa hamsemi
Kesho tunashinda Tena kipindi Cha kwanza bao mbili au zaidi.
Mmejificha kwenye mgogoro wakati Ni movie ya
kutengeneza Kama nyie mlivyotengeneza ya kuelekea kigoma.
Kesho mnapigwa za kutosha na mabeki wazee wale
Ushauri msiende na matokeo mfukoni mtajinyea kesho.
Hapa Nabi, hapa Kaze uku Zahera mtachomokaje?
Kesho tunashinda Tena kipindi Cha kwanza bao mbili au zaidi.
Mmejificha kwenye mgogoro wakati Ni movie ya
kutengeneza Kama nyie mlivyotengeneza ya kuelekea kigoma.
Kesho mnapigwa za kutosha na mabeki wazee wale
Ushauri msiende na matokeo mfukoni mtajinyea kesho.
Hapa Nabi, hapa Kaze uku Zahera mtachomokaje?