Jay master
JF-Expert Member
- Dec 2, 2017
- 716
- 804
KAMA namba ya simu aliyoitumia aliinunua mpya maalum kwa kutolea taarifa iyo na baada ya hapo akaitupa utampataje,,,,namba ya smu ulotumia na email vinaweza kusaidia kujua wewe ni nan!
labda u delete email na namba ya cm ufanye manuva wa badilishe apewe mbibi kolomije huko!
halafu records zote zifutwe!