Kesi dhidi ya JamiiForums: Meneja wa OILCOM (T) LTD atoa ushahidi, vielelezo vyake vyapingwa... Shauri laahirishwa

Kesi dhidi ya JamiiForums: Meneja wa OILCOM (T) LTD atoa ushahidi, vielelezo vyake vyapingwa... Shauri laahirishwa

Screenshot_2017-12-21-11-18-04.png
Duuuh..., kumbe mahakamani watu hawaangalii common sense au mihemko, 2 inaweza ikawa saba hata kama kila mtu anajua kwamba ni mbili, ili mradi ushahidi au vifungu vya sheria vya kusapoti vipo. Kwahiyo huo ushahidi unakataliwa hivi hivi wanajiona, kweli sheria ni sanaa ya kipekee.

= = == = = = = = = = = = = = = = = = = = = = = ==
 
Kampuni ya Oilcom naona kuna matatizo sana, kuna thread ipo humu kuhusu kubana mpira na kutoa mafuta machache vituoni, binafsi siendi tena kwenye vituo vyao...
Kuna kitu pale...
 
Halafu huyu shahidi ni member wa Jf hahah.... Akibainika alambwe ban
 
KATIKA NCHI ZILIZOENDELEA BW. FUHRER ANGEPONGEZWA KWA KUTOA TAARIFA YA UHALIFU NA JF INGEPATA TUZO, LAKN BONGO NI KINYUME CHAKE, POLISI INASHRIKIANA NA MHALIFU KUMKANDAMIZA MTOA TAARIFA. HAYA NI MATUMIZI MABAYA YA RASILIMALI ZA UMMA, KWA SABABU GHARAMA NA MUDA WA KUENDESHA KESI NI MKUBWA LAKN PIA NCH INAENDELEA KUIBIWA.

NA NDIO MAANA ZINAITWA 3RD WORLD COUNTRIES KWA 7BU MAMBO YANAYOFANYWA HATA SHETANI ANASHANGAA

MTU ANATOA TAARIFA YA JENGO KUWEKA NYUFA KUFCHUA UDHAIFU WA MKANDARASI, BADALA YA KUMWAJIBISHA MJENZ UNAMWEKA LOCKUP MTOA TAARIFA.. MWSHOWE MKANDARAS KWA KUGUNDUA KUWA ANABEBWA ANALETA MAJBU MEPESI KUWA NI 'EXPANSION JOINTS' NA NI KAWAIDA..

KUNA VITU VINAUMA, AU NANI HASWA MMILIKI WA OIL COM MPAKA AANDAMWE MFCHUA MAOVU?
 
Kampuni ya Oilcom naona kuna matatizo sana, kuna thread ipo humu kuhusu kubana mpira na kutoa mafuta machache vituoni, binafsi siendi tena kwenye vituo vyao...
Kuna kitu pale...
Yule mwenye thread anapoint ila kashindwa kuilezea, issue ni kwamba unapobana pump kuna mafutabyanabaki kwenye ule mpira hasa hasa kama mpira ni mrefu, hivyo mwekaji anatakiwa mashine inapomaliza kuhesabu na pump imeshajizima, bado inabidi aache kwa sekunde kadhaa ili gravity iyasukume mafuta ambayo yameshapita kwenye mita lakini bado yapo kwenye mpira, kwa kubana ni kwamba anayazuia mafuta ambayo umeyalipiana bado yapo kwenye mpira, yanaweza yakafika hata lita 2.
 
Yule mwenye thread anapoint ila kashindwa kuilezea, issue ni kwamba unapobana pump kuna mafutabyanabaki kwenye ule mpira hasa hasa kama mpira ni mrefu, hivyo mwekaji anatakiwa mashine inapomaliza kuhesabu na pump imeshajizima, bado inabidi aache kwa sekunde kadhaa ili gravity iyasukume mafuta ambayo yameshapita kwenye mita lakini bado yapo kwenye mpira, kwa kubana ni kwamba anayazuia mafuta ambayo umeyalipiana bado yapo kwenye mpira, yanaweza yakafika hata lita 2.
Ila Wabongo kwa kweli tumeshinda tuzo kwa kupenda kuiba makazini!
Inatisha kwa kweli..
 
OILCOM ni MAJIZI hatari sana I see. Nawashauri wamiliki wa vyombo vya uasafiri msijaze mafuta kwenye vituo vya oilcom kwa kuwa wana tabia ya kuchezea meter zao za mafuta hivyo kuwaibia wateja. Huo mchezo wao mchafu umegundulika kitambo sana.
 
Back
Top Bottom